Enyi kizazi cha nyoka, intelligence haiwezi kuwa artificial

Enyi kizazi cha nyoka, intelligence haiwezi kuwa artificial

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Kwa mshangao mkuu, ni kama dunia nzima imepigwa upofu, watu wanataharuki, ni nini mustakabali wa mwanadamu ili hali kuna akili mnembe?

Nakuambia wewe kizazi cha nyoka, AI haiwezi kufanya kazi kama haijawa programmed na binadamu, itafuata algorithm zile zilizotengenezwa na mwanadamu

Mwanadamu bado ataendelea kuwa on top of everything that have been created or that he has created himself, Mungu ametupa akili, inatusaidia kufanya kazi zetu kwa urahisi.

Mwanadamu haweizi kuwa replaced by machine, sex toys haziwezi ku-replace pussy, utamu wa pussy ya manadamu utaendelea kubaki pale pale.

Tuendelee kunywa mtori nyama bado ziko chini
 
Kwa mshangao mkuu, ni kama dunia nzima imepigwa upofu, watu wanataharuki, ni nini mustakabali wa mwanadamu ili hali kuna akili mnembe?

Nakuambia wewe kizazi cha nyoka, AI haiwezi kufanya kazi kama haijawa programmed na binadamu, itafuata algorithm zile zilizotengenezwa na mwanadamu

Mwanadamu bado ataendelea kuwa on top of everything that have been created or that he has created himself, Mungu ametupa akili, inatusaidia kufanya kazi zetu kwa urahisi.

Mwanadamu haweizi kuwa replaced by machine, sex toys haziwezi ku-replace pussy, utamu wa pussy ya manadamu utaendelea kubaki pale pale.

Tuendelee kunywa mtori nyama bado ziko chini
AI, ni akili za Wamarekani, tutatumi akili za wamarekani kweli UJINGA utatumaliza hii ni new world order.... Take care.
 
Watu wanalia kazi za viwandani zinachukuliwa na Advanced Artificial Intelligence Robots. Kama wewe ni mtu wa kawaida basi baade itakuwa nguma sana kuishi kama sio expert kwenye technology based field yoyote.
 
Back
Top Bottom