Enyi masikini, muuzieni Simba FC Mohamed Dewji

mdundo ngoma sana

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2016
Posts
1,002
Reaction score
955
simba haitofanikiwa ikiongozwa na masikini nyinyi.kuiuza timu povu linawatoka mfukoni hamna hata thumuni.ninaamini kuuongoza club ya mpira ni pesa kwanza halafu akili zinashirikishwa baadaye.enyi wazee mpeni MO club hiyo mtulie muone mafanikio.simba niionavyo mimi haina tofauti na African sport ya Tanga.haina uwezo inambwela tu.dunia nzima timu zinazofanikiwa ni zinazotumia mfumo wa kibepali.chelsea man u psg na yanga
 
Duh!mimi sio shabiki wa simba ila mdau ushauri wako unaweza kuwa mzuri ila umekaa ki Donald Trump sanaaa.
 
Futa kwanza yanga kwenye orodha ndio wengine tushauri.
 
mkuu sentensi ya mwisho imekuharibia bandiko lako
 
Umewaza kimaskini na kipuuzi sana. Yanga imemuuzia timu nani?unaongea jambo ambalo hulifaham. Manji anaifadhiri yanga anaitumia kwa maslah yake ambayo kwenye uelewa wako wa kimaskini huwez elewa hata uelekezwe mwaka mzima. Leo manji akiondoka yanga unadhan inakuaje?inakuwa kama african sports au hizo ulizotaja kwa dharau za kipuuzi na kutokujua unachoongea.yanga hal waliyo nayo sasa manji ni kama mungu kwao. Hatutak uendeshaj timu wa namna hiyo.tunataka mfumo unaoeleweka na si manji akisema anastaafu wnyekiti mnaenda mpigia magoti
 

wewe mpuuzi kweli

Yaani wewe umekuwa limited scope kwa Comparison na Yanga

Yanga wenyewe hovyo tu

Simba wauze shares watu wajitokeze kina Mo...Timu ijiendeshe kisasa...mambo ya sijui wazee wa timu yashapitwa na wakati

Nyaaaaambaf wewe
 
Kamanda umesema ukweli kabisa

Hawa maskini wanashangaza sana

eti wanajivunia tuna timu na wakati huo wachezaji wanashinda njaa na hawajalipwa mishahara kwa miezi 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…