Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kwenye wadudu ukiondoa wa nitakuelewa...tunaogopa wadudu wadogo wadogo ila wadudu wakubwa hatuziogopi
cc Vaislay
acha umbea wewe nitakunyima bia leo utajilipia mwenyewe
Kulikoni unikatili ivo?
uzuri mmoja nina mwezi na ushee situmii hyo kitu, na wala sina ndoto za kuirudia tena.
Right woman... Hawapo tena!!
kwa hiyo kwenye kikao hutarudi tena?
siwezi acha kuhudhuria kikao, kuna soft drinks nzuri pia
sikai na watu wanaokunywa soft drink
nami sikai na walevi, ntakaa na wenzangu
ndo maana