Enyi wanaaume!! ndoa na ngumi wapi na wapi??



Na ndivo walivyo wala hawana sababu ya msingi na hawakubali makosa yao!! Hao wapigwaji nao wana kazi aisee, mi hujanifanyia kitu cha hivo nikakuchekea chekea!!! Hivi hawaonagi hata stuli humo ndani na wao wakawatwanga nazo??
 
Mkuu inakuwaje hao wake za watu wanakuja kukuhadisia wewe mambo yao ya ndani ya ndoa zao? Hayo mambo yanahasiwaga saluni...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…