Enyi wanandoa hebu waachieni watoto hii huduma

Aaah wapi na mie nna share yangu pale km hakuna mtoto mdogo lazima ni nyonyeeeee
 
mhh huyu mtoto anayenyonyeshwa wa kwanza mbona tumbua limetuna sana?
 
Mume ndio mtoto mkubwa wa mke, hivyo nae anastahili kunyonya sometimes
 
Nani kasema hii nayo inalaha yake sio watoto tu wanaositahili hata watu wazima inawafa
 

Duuu! huyu mama kama hanyonyeshi mtoto maziwa yake ni matamu kunyonya katika kumwandaa na shughuli nzito, sasa huko ambako wanaume wanakuta sijui uzuri wake uko kama anavyoonekana
 
Maziwa ya mama ni muhimu sana kwa afya ya mtoto!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…