Enyi wanawake wa JF. . . . !!!!

gfsonwin,umeeleza vizuri sana na umeelewa maana ya thread hii. . . . . .Uliposema mpata nimpate wangu ulikua unamaanisha nini?Lets say kwamba nimekutongoza na ukajua niko kwenye hali kama hiyo,je utanikubali na ushamba wangu?Maana naweza kua hata eneo husika sijui na shughuli inavyofanyika pia sijui!Utanikubali??
 
eeehh ni kweli ni adimu ila bado ipo ipo kwa kuvizia na mihangaiko sana utaipata baba!!!
 
Eiyer mbona hilo siyo ishu kwa mtu anayekupenda kwa dhati? wengine huwa tunaelekeza kabisa hapa ndio mahali pangu pa mshawasha au hapa unaniondolea stim kabisa and so on. hakuna ishu ya ushamba bana manake unayajua haya from anecdote so kupractice its a matter of time. Tulia utapata ambaye atakubali tena natamani ningekuwa ni mimi lol kumzibua mwanaume siyo mchezo dogo. wote tunakutana nao wakiwa kwisha habari yao.
 
Last edited by a moderator:

Hivi ngoja nikuulize unajua maana ya upendo?Maana nimeshachoshwa na hizi kauli za midomoni tu!
 
Last edited by a moderator:
hilo swali binafsi lakini ntakujibu mie siye yule umzaniaye,,,,
 
Mmh kuna raha yake kuwa na mwanaume aliye na experience kwenye hayo mambo! Sasa mambo ya beginners...daah.. But either way taratibu atazoea..na pengine akaja kuwa mtaalam balaa..
Ila unataka kusema wewe ni (wanaitaje vile "virgin" au?) Mh..
Nakuhitaji sana😛eace:

Nakupenda sana😛eace:
 
Ha,ha,ha,ha,haaaaa!ODM bana ulishaona wapi mtu akapanda farasi wawili?
 
Mmh kuna raha yake kuwa na mwanaume aliye na experience kwenye hayo mambo! Sasa mambo ya beginners...daah.. But either way taratibu atazoea..na pengine akaja kuwa mtaalam balaa..
Ila unataka kusema wewe ni (wanaitaje vile "virgin" au?) Mh..

mambo ya mapenzi hayana wa kujisifu bana we style ni zile zile zana ni zile zile labda,kama kuna mtu ambae unaweza kumtaja anasifika tanzania yote kwa kuchezea k mtaje,nenda kawatafute mabubu,vichaa,vilema,vipofu awaion lakni utamu wanauhc.tusipotoshane kwamba kunautaalam flan hapo.umeish na mumeo miaka kumi bado mnafanyia kitandan kama nyie wataalam kafanyieni kwenye mti ata dining,kitchn,sitng room na stoo amjawai fanyia mapenz then unajisfu upo experiencd,wazungu na ujanja wao wote wamegundua kupeana ti go,kulamb koni na kuingia chumvn.we kama upo kweny ndoa mmeo au mkeo alamb wala uingii chumvn nyie bado ni washamb mnakuwa kama watu wa mwaka 47.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…