Mimi saidia fundi tu, nalipwa shilingi 10k Kwa Siku kwahiyo waifu namwachia 6k kisha Mimi nakula 4k pamoja na nauliMzeya shukuru kama wee hiyo unagonga msosi mmoja
Kumbe bora niendelee kuwa bodabodaMimi saidia fundi tu, nalipwa shilingi 10k Kwa Siku kwahiyo waifu namwachia 6k kisha Mimi nakula 4k pamoja na nauli
Kwahiyo 6k Kwa Siku 7, ni wastani wa 40k Kwa wiki
Kabisa Mkuu, muhimu Mkono uende kinywaniKumbe bora niendelee kuwa bodaboda
Mimi mzima kabisa wa afya. Naomba uni PM nina shida na wewe ila nashindwa kukuPM...Safi tu, habari ya weye?
Sijawahi funga pm!!!Mimi mzima kabisa wa afya. Naomba uni PM nina shida na wewe ila nashindwa kukuPM...
Ooh ok. Naona mwanzo ilikuwa imekataaSijawahi funga pm!!!
Sisi tuna group la kuweka na kukopa ila tunavunja kila mwaka. Kiwango cha chini ni 100k kwa mwezi. Tuko wanawake 10 na wote ni majirani. Inasaidia sana hasa ukiwa na tatizo la kutaka hela ya chap.Sisi wengine waume zetu wametoka familia duni hivyo lazima tusaidiane mambo yaende...... watoto wa 4 wote wanasoma shule za kulipia yaani nimuachie kila kitu wakati Mimi nafanya kazi?! Nacheza michezo ofisini na tulianza 2017 hayo ya dhulma nasoma km hivi mitandaoni!
Hongera kwakutokuwa na which ya Ada wala which ya kodi SI unajua vidole havilingani😊
Waache huo ujinga. UtawagharimuNina dada zangu wawili hao hata uwaambie nini hawakuelewi kuhusu hii michezo yao ya upatu. Yani kila siku yeye anatafuta hela ya kikoba na sijawahi hata kuona maendeleo ya maana waliyofanya zaidi ya stress tupu
Ccm imewaletea vikoba ili waendelee kua wajingaHii sasa imevuka mipaka. Migogoro na ugomvi ni wa kutosha baada ya kudhulumiana pesa. Michezo ni mingi mno. Kuna hadi michezo ya vyombo. Michezo karibu yote haifuati sheria wala utaratibu unaoeleweka. Mbaya zaidi utakuta vikundi vingine ni vya ONLINE.
Wewe mwanamke wa Tanzania nakuamuru achana na huo upuuzi unaoitwa mchezo. Kama huna nidhamu ya pesa usidhani michezo itakusaidia. Hiyo hela unayotunza kila siku kwa kijumbe si uongezee mtaji wako wa biashara? Wengi wenu mmekuwa Low Profiled Pr○st!tut£s ili mpate hela za mchezo. Kuna ambao mnacheza michezo ya hela nyingi ndo mmekuwa hatarini zaidi.
Kama unataka kutunza pesa zako nenda benki iliyoko karibu nawe watakushauri namna sahihi na salama ya kuhifadhi pesa zako. Wanaume wanaoshiriki michezo pia waache huo upuuzi.
Sawa kabisa hata mm ya kijumbe inanikera Bora ya kutumiana kwenye akaunt moja Kwa mojaSiyo michezo yote ni mibaya, Mimi pia mchezo wa hela inapita kwa kijumbe siutaki! Mchezo mzuri ni ule ambao mna group la what's up na mtu mwenye zamu ya kupokea anaweka no ya simu/acc ya bank yake na kila mmoja anamtumia...... inasaidia sana kutokudhulumiana nk
Msituone wamama hatuna akili hii michezo inasaidia kukusanya Ada za watoto,kodi na hata wengine tunajenga kwa njia hii kikubwa ni uaminifu na nidhamu, zaidi muwe mnajuana mna shughuli za halali kama mnafanya kazi au biashara muhimu ni uhakika wa kulipa hasa ukiwa umeshakula za wenzio.
Nguo ya ndani hata nisiponunua bado ni uzembe wake hivi kitu cha buku mbili tatu hadi tano hadi nikipitie dukani nmletee?? Sio kila mwanaume anaweza hayo mambo.Kuna Wanawake wanapitia changamoto sana kwenye ndoa zao
Unakuta Mume mlevi, Wala hajali familia yake
Ukimuuliza Mke mara ya mwisho amenunuliwa lini nguo ya ndani na Mumewe, anakwambia hajawahi🙌
Bora hivyo Vikoba vyao vinawasaidia
Kuna Wanaume wenzetu hata kumpatia hela Mke/Mpenzi wake ya kununua chupi hampi huu ni Mwaka wa 5 ama 10 tangu waoane 🙌Nguo ya ndani hata nisiponunua bado ni uzembe wake hivi kitu cha buku mbili tatu hadi tano hadi nikipitie dukani nmletee?? Sio kila mwanaume anaweza hayo mambo.