Enyi waume zipendeni Familia zenu

Mbogela

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2008
Posts
1,384
Reaction score
258
Djimon Honsou mwishoni mwa mwaka jana aliwaliza wajumbe wa mkutano wa kimataifa wa mabadiriko ya hali hewa huko Copenhagen katika hotuba yake juu ya mabadiriko ya hali hewa na hatari iliyopo juu ya dunia na viumbe viishivyo juu yake. Lakini kila nikimwangalia kwenye hizi clip naona anasomo kubwa sana kwenye mahusiano yetu na familia zetu, he shows deep love to his son and his family. Nimekuwa naiangalia hii sehemu mara kwa mara sichoki. Inakuwa kama ile story ya Mwanampotevu......
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=QRWve1dr2JI"]YouTube- Blood Diamond - You're not a bad boy[/ame]

Alafu hasikii mapigo ya kitako cha bunduki usoni anazidi kutabika kwa ajili ya familia yake. Naomba siku moja tupate akina Kanumba/Ray/Johari/Uyowa atakayeweza kutugusa nyoyo kwenye screen kama Djimon
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=IpBEl92PW_o"]YouTube- Diamantes de Sangre - Blood Diamonds (Leo DiCaprio)[/ame]
 
imetulia msg send

ila avatar yako bomba
 
11. Akasema, Mtu mmoja alikuwa na wana wawili;
12. yule mdogo akamwambia babaye, Baba, nipe sehemu ya mali inayoniangukia. Akawagawia vitu vyake.
13. Hata baada ya siku si nyingi, yule mdogo akakusanya vyote, akasafiri kwenda nchi ya mbali; akatapanya mali zake huko kwa maisha ya uasherati.
14. Alipokuwa amekwisha tumia vyote, njaa kuu iliingia nchi ile, yeye naye akaanza kuhitaji.
15. Akaenda akashikamana na mwenyeji mmoja wa nchi ile; naye alimpeleka shambani kwake kulisha nguruwe.
16. Akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe, wala hapana mtu aliyempa kitu.
17. Alipozingatia moyoni mwake, alisema, Ni watumishi wangapi wa baba yangu wanaokula chakula na kusaza, na mimi hapa ninakufa kwa njaa.
18. Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;
19. sistahili kuitwa mwana wako tena; nifanye kama mmoja wa watumishi wako.
20. Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa angali mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu sana.
21. Yule mwana akamwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako; sistahili kuitwa mwana wako tena.
22. Lakini baba aliwaambia watumwa wake, Lileteni upesi vazi lililo bora, mkamvike; mtieni na pete kidoleni, na viatu miguuni;
23. mleteni ndama yule aliyenona mkamchinje; nasi tule na kufurahi;
24. kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana. Wakaanza kushangilia.

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=koBRVXIaOzM"]YouTube- Words of Life KISUKUMA People/Language Movie Trailer[/ame]
 

hii ni habari ya mwana mpotevu
 
hii ni habari ya mwana mpotevu
Ndio nafananisha hayo maneno ya Djimon alliyomwambia mwanae alipokuwa anamwonyeshea siraha
Dia!!!
what are you doing!!!????
dia!!!!
my son,
what are you doing doing!!!?
my good boy playing soccer on school,
your mother loves you so much, she waits by the fire making plantains and stew
The COWS waits for you........ (hii sentensi ina maana kubwa sana)
you are not a bad boy, I am you father who loves you, and you are going home with me and be my son AGAIN
 
Mh Drphone pole one day yes utaibiwa ...taratibu....🙂
 
eeh nakosa kitu hapa; ni vipi mapenzi katika familia yamefanya watoto wakashika silaha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…