Enzi hizo JKT....

835kj Mgambo Tanga
Maleela malela ....wangu naktafua
Inai nai amba, yafanana amba na jeshi letu amba..hakuna mwingine
Acha bhana dah. Chezea shamba dunia kwa komsanga na genda genda hahaha.
Makutopora Jkt kwa Afande Col Matingas( RIP) B coy. S/Sgt Chacha, Sgt Mwiba,cpl Mkopoka. RSM Mwihechi. Adjutant Capt Mgimba.
CI nimemsahau alikuwa Maj ( tulimuita afande CI).
 
Mkuu nilijua utabase Jkt tu hata kama ulikuwa intake ya moja kwa moja to TMA. Ila usinikumbushe zile route marches kupita vijiji vya wamasai, mguu wa Zuberi na kubeba jeneza la brigadier haha.. It was an awesome memory
Usinikumbushe jeneza. Nilibeba pack yenye vitofa( vya kuchoma 10. ) Combat imelowanishwa maji.
 
Makutopora Jkt kwa Afande Col Matingas( RIP) B coy. S/Sgt Chacha, Sgt Mwiba,cpl Mkopoka. RSM Mwihechi. Adjutant Capt Mgimba.
CI nimemsahau alikuwa Maj ( tulimuita afande CI).

Hongera sana kamanda
 
Nakumbuka route match makutu to jamhuri stadium na kurudi kwa siku moja
 
Uzalendo unafundishwa mkuu?
Uzalendo una viwango na upo tofauti tofauti. Upo ambao mtu anazaliwa nao naturally juu ya watu wake na nchi yake na kuna ambao lazima upitie katika misingi/ mafundisho ya aina fulani ili uweze kuvifikia viwango vya juu vya uzalendo.
Usichukulie rahisi kufikia viwango vya kuwa tayari kupoteza maisha au kila kitu katika maisha yako kwaajili ya watu wako au nchi yako.
Nadhani umenielewa mkuu
 

Hapana mkuu
Kwa hiyo asiyepitia jkt sio mzalendo halisi?
 
Usinikumbushe jeneza. Nilibeba pack yenye vitofa( vya kuchoma 10. ) Combat imelowanishwa maji.
Mkuu we acha tu
Hawajui watu tulitoka mpaka jasho la m.k.u*n*d#u#n#i kufika hapa tulipo haha.
Mi naomba kwenye uzii hui tu base ya jakata tu.
 
Hapana mkuu
Kwa hiyo asiyepitia jkt sio mzalendo halisi?
Haha sijui umenisoma vizuri mkuu?
Wote ni wazalendo halisi wa nchi yao na watu wao.
Hakuna sehemu niliyosema asiyepitia Jkt sio mzalendo. Kama ungenielewa, hapo nimeongelea patriotism perspective kwa mapana yake
 
Nakumbuka Mzakwe! Mitunduru, kwa mbuzi. Quarter Guard ulinzi,Armourer, uwiiii
Kuna ile kampa kampa tena yaani unarudisha leo mashine jioni details zinakusoma tena uende Armourer kuchukua mashine haha. Kwanini usinuke mafuta ya bunduki? 😀 😀
 
Kuna ile kampa kampa tena yaani unarudisha leo mashine jioni details zinakusoma tena uende Armourer kuchukua mashine haha. Kwanini usinuke mafuta ya bunduki? 😀 😀

Mkuu lakini hapo kuna kasoro
Mtu anabeba bunduki siku nzima na haina risasi!
What’s the point?
 
Mkuu lakini hapo kuna kasoro
Mtu anabeba bunduki siku nzima na haina risasi!
What’s the point?
Kuna siri za jandoni mkuu.
Ok its like this, that depends on the location of kjs. Aliyoko 831 usimfananishe na aliyoko 821 mpakani kigoma huko ambapo warundi wanaovuka mipaka kuja kuiba ndani ya maeneo yetu wapo wengi. Narudia tena Siri za jandoni mkuu
 

Nimelinda sana guard
Unabebeshwa bunduki usiku mzima eti unalinda na bunduki haina risasi hata moja!
Namshukuru Mungu haikuibiwa
 
Ulifundishwa kutumia singe. Corporal alipewa risasi 30. Kuruta tulipewa SAR Chinese 1956.

Sasa mkuu si bora unipe kisu ama panga kabisa kuliko bunduki isio na risasi
Ina maana huniamini ndio maana unanipa bunduki haina risasi
 
Sasa mkuu si bora unipe kisu ama panga kabisa kuliko bunduki isio na risasi
Ina maana huniamini ndio maana unanipa bunduki haina risasi
Ndio maana yake mkuu. Ns wakati ule hali ya usalama ilikuwa 98%. Tulipewa sar tuzizoee tu. Brain washed.
 
Nimelinda sana guard
Unabebeshwa bunduki usiku mzima eti unalinda na bunduki haina risasi hata moja!
Namshukuru Mungu haikuibiwa
Sasa ulitaka uende guard na SMG mkuu? Ulipewa SAR ili uzoee kukaa na silaha kwanza. Ndiomana yaliitwa mafunzo ya awali ya kijeshi kabla ya RTS ambapo utaitumia SMG mpaka uichoke.
 
Sasa ulitaka uende guard na SMG mkuu? Ulipewa SAR ili uzoee kukaa na silaha kwanza. Ndiomana yaliitwa mafunzo ya awali ya kijeshi kabla ya RTS ambapo utaitumia SMG mpaka uichoke.

Nipe SAR ama hata gobore ambalo liko loaded!Adui akija huna risasi utafanya nini?
Wallahi ukitaka kuiba silaha kwa mamia miaka ile basi jkt ilikuwa ni pahala sahihi.
Nimefuatilia mafunzo ya national service ya nchi nyingi tu duniani ni nimegundua kulikuwa na makosa na mapungufu mengi sana katika mafunzo yaliotolewa JKT
Jkt ilijikita sana kama taasisi ya propaganda na kutubrainwash
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…