ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Siku hizi hakuna kupoteza muda unatongoza saa 12 jion saa 2 usiku unapiga au hutongozi kabisa unashika tu kiufupi wamekuwa Maharage ya mbeya..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nifikirie mremboSawa Mkuu
mwendo wakudanganywa tuu😁😁😁Drama ni nyingi mkuu
#muuza madafu ikulu kumbe commando
Umeme wenyewe tunanunua na kupewa hapohapo.Ila vijijini bado wapo wa hivyo, huko unatongoza kademu Kisha kanakwambia ukapatie siku 3 kafikirie
Na wewe pia unakuwa kwenye half ya kula 50 zakoDaa " Naomba basi unifikirie, mi nakupenda sana, sina mpango wa kukuchezea, nielewe grace"
Grace: sawa nipe muda nifikirie"
Hapo unakua uko half ya safari
Hapa kijijini kwetu tuna ishu inaitwa chagulaga.Hatusumbuki.Siku hizi hakuna kupoteza muda unatongoza saa 12 jion saa 2 usiku unapiga au hutongozi kabisa unashika tu kiufupi wamekuwa Maharage ya mbeya..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zamani ilikuwa ni PENZI ila kwa sasa ni BIASHARA.
Wanajua fika ni lazima huduma iwe nzuri na ya haraka.....vinginevyo mteja atahamia kwa wengine.