Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
*[emoji23]Enzi hizo shule kuna wanafunzi walikuwa wanaandika topic kwa kalamu nyekundu, sub topic kalamu ya nyeusi, na notes kalamu ya bluu.[emoji23] Sijui mko wapi siku hizi, au mlipata kazi sadolin?*
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]