Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Nakumbuka Mzee Tuntemeke Sanga aliporudi nchini kutoka ughaibuni akaulizwa na Mwalimu unataka cheo gani? Akasema Urais. Akapelekwa kizuizini kwao.
Mzee Christopher Kasanga Tumbo alipopishana na watawala akaishia kupelekwa kizuizini.
Bibi Titi Mohamed alipokula njama mwaka 1969 ya kutaka kumpindua mzee mchonga akaishia kizuizini mpaka mwaka 1990 akachiwa huru.
Huu utaratibu ulikuwa mzuri maana ulijali utu wa mtu. Hali ya sasa inatia mashaka, mtu unapokonywa utu wako!
Muwe na Jumapili njema!
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Mzee Christopher Kasanga Tumbo alipopishana na watawala akaishia kupelekwa kizuizini.
Bibi Titi Mohamed alipokula njama mwaka 1969 ya kutaka kumpindua mzee mchonga akaishia kizuizini mpaka mwaka 1990 akachiwa huru.
Huu utaratibu ulikuwa mzuri maana ulijali utu wa mtu. Hali ya sasa inatia mashaka, mtu unapokonywa utu wako!
Muwe na Jumapili njema!
Pia soma: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana