johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nakumbuka pale Nzega Dr Kigwangalla alipitishwa Kwa kigezo cha kuwa na mvuto zaidi kuliko Lucas Selelii aliyeshinda
Wakati Ule Katibu mkuu alikuwa Mzee Makamba
Sidhani kama kigezo cha MVUTO bado kinatumika Kwenye Chaguzi za Sasa🐼
Sabato Njema
Wakati Ule Katibu mkuu alikuwa Mzee Makamba
Sidhani kama kigezo cha MVUTO bado kinatumika Kwenye Chaguzi za Sasa🐼
Sabato Njema