johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yaani una utani na Mzee Steven Wassira? ๐๐๐Nakumbuka pale Nzega Dr Kigwangalla alipitishwa Kwa kigezo cha kuwa na mvuto zaidi kuliko Lucas Selelii aliyeshinda
Wakati Ule Katibu mkuu alikuwa Mzee Makamba
Sidhani kama kigezo cha MVUTO bado kinatumika Kwenye Chaguzi za Sasa๐ผ
Sabato Njema
Aiseeee! ndo maana mtumishi Lucas Mwashambwa siku hizi haweki namba yake ya simu. Huenda AMEFIKIWA.Sa hizi kigezo ni Uchawa na kugalagala kiulaloulalo na kugalauka kusifu na kuabudu kwa mkuu wa kaya
2005 dasalama Kila mahala zimebandikwa picha za JK, wamama wanazishangaa wanasema huyu baba handsamu๐คฃ๐คฃ๐๐๐คNikweli mkuu, ndio maana Wasira hakupata teuzi/kuchaguliwa kipindi kile..๐