Enzi za bongo fleva ya ukweli

Enzi za bongo fleva ya ukweli

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Enzi zile Amina chipufa na Masood kipanya walikuwa ni watangazaji wa clouds wanawahoji watoto,enzi hizo old bongo hits wasanii wa Kali wakina Jay moe,ngwair,solo thang,Prof Jay,na wengine wengi wanakutana pande za makumbusho watoto wa sinza.produza majani umefanya kazi kubwa Sana kwenye bongo fleva.hip hop ilisimamia misingi, wasanii wengi walipewa nafasi ya kufanya tofauti na Sasa.
 
Kuna wimbo nimeuskia jana kwenye Redio flani!! Niliikumbuka Manati yangu!! Siyo nyimbo ni mtiririko wa matusi aisee! Mi nadhani basata wanapaswa kuweka na adhabu ya bakora kabisa!! Samahani kwa kudandia mada!
 
Ila walikuwa hawapati hela kama wanazopata wasanii wa sasa hivi
Ndio iko hivo mkuu hela watakayopata wasanii wa 2030 hata hizi za sasa zitaonekana ndogo.
Ila tuwapongeze kwa ubora wa kazi zao, na kwa namna moja au nyingine wao ndio waliosafisha njia hadi sasa kina domo wanapiga pesa mingi.
 
Kuna wimbo nimeuskia jana kwenye Redio flani!! Niliikumbuka Manati yangu!! Siyo nyimbo ni mtiririko wa matusi aisee! Mi nadhani basata wanapaswa kuweka na adhabu ya bakora kabisa!! Samahani kwa kudandia mada!
Maaaaninaaa waaalahi!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom