johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Wewe angalia hata Waandishi wa Habari anaofanya nao mahojiano 80% ni Makada wa CCM akina Kijakazi wa UWT Lindi
Mbowe ana nguvu za kusimamia jukwaani na kuongea kitu ambacho hata mlevi anafanya ila Mbowe hana tena nguvu ya kujenga Hoja zenye ushawishi wa kisiasa kama alivyo Mh OMO wa ACT Kwa mfano
Mbowe wa Leo hawezi kushindana Kwa Hoja hata na Makalla achilia mbali akina Jokate na UVCCM wengine
Kila Zama na Kitabu Chake
Ahsanteni sana 🐼
Mbowe ana nguvu za kusimamia jukwaani na kuongea kitu ambacho hata mlevi anafanya ila Mbowe hana tena nguvu ya kujenga Hoja zenye ushawishi wa kisiasa kama alivyo Mh OMO wa ACT Kwa mfano
Mbowe wa Leo hawezi kushindana Kwa Hoja hata na Makalla achilia mbali akina Jokate na UVCCM wengine
Kila Zama na Kitabu Chake
Ahsanteni sana 🐼