Ndivyo ilivyokuwa KADI ya Chadema ilithaminiwa sana na kuheshimiwa
2005 alipoingia Mbowe na wakati anagombea Urais ndio zikaanza KADI za Papo Kwa Hapo kama za Mrema 1995
Ndio hiyo zoa zoa ikawaingiza Chamani akina Mchungaji Msigwa na wale wanafanana naye ππ
Mlale Unono π