Enzi za Mwaaalim....

Enzi za Mwaaalim....

Asprin

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2008
Posts
68,223
Reaction score
96,083
Mnakumbuka enzi zileeeee za kuandikiana barua? Hebu jikumbusheni kiduchu.

** ROLL DOWN TOU YOU ** KISS BEFORE YOU READ

P D N F"--- please do no fold

Roll down to you sweetiepie Babe!

Time and ability plus double capacity has forced my pen to dance automatically on this benedicted sheet of paper. Why! this miraculous thing happened is because papie I love you spontaneously and as I stand horizontal to the wall and perpendicular to the ground I only think of you, since you are a fantastic and fabulous guy. papie please stop haranguing with the feelings in my heart because I love you more than a snake loves rat. To me each day starts by thinking of you and ends by dreaming of you. Each time I see you my metabolism suddenly stops and my peristalysis goes in reverse gear. My medular-oblandata also stop functioning.

Crazy crazy crazy you may say but this is true. If only you knew what is going on in my encephalon you would understand. That's why I need to see you face to face with you, soon. I think I have to pen-off hear because I still haven't finished studying electrolysis and polymerization. Catch you pa- later. Sleep tight and don't let those bed bugs ever bite you coz you are too sweet a the! ing for them.
Yourz Ever,
Sugar tapi tapi


Now check on the reply.......


** ROLL DOWN TOU YOU ** KISS BEFORE YOU READ

** " P D N F"--- please do no fold

My Love, My Sugar, i was exasperated with pride to have received one from you, the lungs in my body flapped with joy when i have been reading your letter. Anyway by now you have reached the realisations to why i am jotting this small letter to you, yes it is to see if you are keeping with the sands of time.


How is everything on that other side of yours? Well here everything is just half lemon half sugar to makeit schweppes. How is your schooling? How are you pulling the wagons of life? I am just pulling the schooling thing like a donkey pulling a cart.

My honie, i am missing you very much right now, my heart is perambulating with every word that i write, if it was not for these oceans that decided to flow between us then i would get on the next bus to come and see you, but until then i know that i will not hesitate to put this blue blood on this paper and write to you. I remember that day lovie, that one sweet day as Maria Curry sanged it, you know that it is my favorites song honie, the one day that we were boarding the combies and you escorted me to my home, walking with you just brought sweet dreams to me for the rest of my life honie.

If words of love could ride a bicycle I would be competing against Diego Maradona.Anyways, i will not stop you from reading the books that give you life and education so I will stop here for today.

Please always writing to me because I am missing you like sugar misses tea. You can see my foto below

My dedications to you are :


Maria Curry - One Sweet Day.

Boys to Main - And of the Rod

Keep well my mop of my heart, Yours in flesh and in blood, Ruise Sugar Baby

P.S. Sorry about my english, I did not learn anymore

Hope you had a ball



Wengine humu ndani hawakupitia enzi hii. Wamezaliwa enzi za Mobile phones. Wamekosa uhondo huu.
 
enzi za mwalimu unamfukuzia demu kinomaaaaaaaa, mara unamsubiri chini ya mwembe, mara unamvizia anakwenda kisimani kuchota maji, kali zaidi ni usiku unakwenda kwao unajibanza sehemu unarusha jiwe kwenye bati mtoto anatoka nje!!, hahahaaaaa haaaa enzi za mwalimu bana!, duh.
 
enzi za mwalimu unamfukuzia demu kinomaaaaaaaa, mara unamsubiri chini ya mwembe, mara unamvizia anakwenda kisimani kuchota maji, kali zaidi ni usiku unakwenda kwao unajibanza sehemu unarusha jiwe kwenye bati mtoto anatoka nje!!, hahahaaaaa haaaa enzi za mwalimu bana!, duh.

Mkuu umenikumbusha mbali sana. Hiyo ya kurusha jiwe kwenye bati nilishawahi kuitumia ikazaa matunda. Teheteheteh!!
 
Mkuu umenikumbusha mbali sana. Hiyo ya kurusha jiwe kwenye bati nilishawahi kuitumia ikazaa matunda. Teheteheteh!!

hahaaaaa, sana mkuu!!, kuna nyingine za hatari sana, si unajua vijijini kwetu wengine nyumba paa la NYASI??, ukirusha jiwe hakuna kitu, so unaelekezwa midamida unagonga dirisha!, sasa dingi mtu akikustukia anakuwekea tageti, unagonga dirisha huyo hapo mgongoni kakunyaka mzee nomaaa!.
 
hahaaaaa, sana mkuu!!, kuna nyingine za hatari sana, si unajua vijijini kwetu wengine nyumba paa la NYASI??, ukirusha jiwe hakuna kitu, so unaelekezwa midamida unagonga dirisha!, sasa dingi mtu akikustukia anakuwekea tageti, unagonga dirisha huyo hapo mgongoni kakunyaka mzee nomaaa!.

Madingi wa zamani walikuwa wanoko sana. Mi nilikuwa najibanza pembeni ya mwembe nasubiria vishosti vinavyotoka kuchota maji mida ya kigizagiza. Vikikaa vibaya vinakatwa mtama mzee mzima namaliza shughuli. Ajabu vilikuwa havipigi kelele. Inawezekana vilikuwa vinainjoi. Gesti nimekuja kuzijua enzi za Mkapa.
 
Aaaahahaha!! Nakumbuka ile ya msichana wako ili uweze kumwamsha usiku anafunga kiuzi kwenye kidole halafu anato kiuzi dirishani ili ukija ukivute naye anaamka taratibu bila tatizo. anatoka unamaliza mambo....
 
Aaaahahaha!! Nakumbuka ile ya msichana wako ili uweze kumwamsha usiku anafunga kiuzi kwenye kidole halafu anato kiuzi dirishani ili ukija ukivute naye anaamka taratibu bila tatizo. anatoka unamaliza mambo....

Kaka hii ya kwako ni kali zaidi. Akikutaim mkware akakavuta kauzi kabla yako?... kwishnei!
 
Aaaahahaha!! Nakumbuka ile ya msichana wako ili uweze kumwamsha usiku anafunga kiuzi kwenye kidole halafu anato kiuzi dirishani ili ukija ukivute naye anaamka taratibu bila tatizo. anatoka unamaliza mambo....

hahahaha!! hii inaonesha jinsi watu walivyokuwa creative katika kujenga strategy za kubanjua amri numero 6..madingi wanapokuwa wanoko kulinda watoto wao...na watoto wanajenga njia mibadala yakuwachomoka.Nimependa kweli hyo ya kamba...ingawa siku hizi n mwendo wa viselula afu afterall midingi mingi siku imekuwa mifataki tu...
 
Aaaahahaha!! Nakumbuka ile ya msichana wako ili uweze kumwamsha usiku anafunga kiuzi kwenye kidole halafu anato kiuzi dirishani ili ukija ukivute naye anaamka taratibu bila tatizo. anatoka unamaliza mambo....

Kaka hii ya kwako ni kali zaidi. Akikutaim mkware akakavuta kauzi kabla yako?... kwishnei!

hahahaaaaa haaaa sina mbavu!!!!, ebwanaeee hapo ni noma, sio siri shori ndani ansubiri kamba ivutwe huyooo anatoka nje!. sasa chukulia demu wa Fidel ndo kafunga uzi halafu Masanilo anampiga ovateki anawai pale homu, na kwa kua demu anajua anakwenda kubanjuka akitoka nje na kumkuta Masanilo unadhani atakataa arudi ndani??, thubutuuuu huyooo jamaa anajichukulia kiulaini.
aaah, enzi za mwalimu bana ilikua noma, people were so creative!!.
 
Kuna ile ya afajiri demu anajifanya anaenda kisimani, wazazi na jamaa wamelala maana wanajua kumekucha ni salama, basi arrangement zinakuwa zilifanyika shule alfajiri unawahi palepale home unakwangua halafu anaenda kisimani. watu wakiamuka wanamsifia kwa kuamka mapema na kufanya kazi kabla hajaenda shule!Jamani binadamu hawezakani. Enzi za mwalimu!Acha tu
 
Kuna ile ya afajiri demu anajifanya anaenda kisimani, wazazi na jamaa wamelala maana wanajua kumekucha ni salama, basi arrangement zinakuwa zilifanyika shule alfajiri unawahi palepale home unakwangua halafu anaenda kisimani. watu wakiamuka wanamsifia kwa kuamka mapema na kufanya kazi kabla hajaenda shule!Jamani binadamu hawezakani. Enzi za mwalimu!Acha tu

mhhhh?
 
hahahaaaaa haaaa sina mbavu!!!!, ebwanaeee hapo ni noma, sio siri shori ndani ansubiri kamba ivutwe huyooo anatoka nje!. sasa chukulia demu wa Fidel ndo kafunga uzi halafu Masanilo anampiga ovateki anawai pale homu, na kwa kua demu anajua anakwenda kubanjuka akitoka nje na kumkuta Masanilo unadhani atakataa arudi ndani??, thubutuuuu huyooo jamaa anajichukulia kiulaini.
aaah, enzi za mwalimu bana ilikua noma, people were so creative!!.

Mkuu umeniumizia mbavu zangu.
 
We acha bwana enzi za Mwalimu. Miaka hiyo nilikuwa nasoma A level Mazengo Secondary. Bila ya shaka Mheshimiwa Msabaha na wengine wanakumbuka. Mimi yalinifika majira ya saa 2 usiku nilikuwa na kidate na mgirl wa kijiji cha jirani kinaitwa Kikuyu. Basi nimefika pale chini ya mkuyu twaanza kuongea na kutaka kukaribiana si wakaja waalimu wa zamu na maprefect bwana. Niliklimbia mbio ambazo enzi zile hata Kipichoge Keino asingeona ndani--m,bio hadi kwenye geti ambalo kutokana na adrenalin niliyokuwa nayo niliiparamia na kukimbilia chumbani. Jamani acheni hizoi ndiyo zilikuwa enzi. When I recall those days that now I am 59 I cant help but smile. Especially when I see my 25 year old chasing them girls in a different setting. Natambua hizi enzi sizo za mwalimu.
 
We acha bwana enzi za Mwalimu. Miaka hiyo nilikuwa nasoma A level Mazengo Secondary. Bila ya shaka Mheshimiwa Msabaha na wengine wanakumbuka. Mimi yalinifika majira ya saa 2 usiku nilikuwa na kidate na mgirl wa kijiji cha jirani kinaitwa Kikuyu. Basi nimefika pale chini ya mkuyu twaanza kuongea na kutaka kukaribiana si wakaja waalimu wa zamu na maprefect bwana. Niliklimbia mbio ambazo enzi zile hata Kipichoge Keino asingeona ndani--m,bio hadi kwenye geti ambalo kutokana na adrenalin niliyokuwa nayo niliiparamia na kukimbilia chumbani. Jamani acheni hizoi ndiyo zilikuwa enzi. When I recall those days that now I am 59 I cant help but smile. Especially when I see my 25 year old chasing them girls in a different setting. Natambua hizi enzi sizo za mwalimu.


Mkuu we ndio wa enzi za mwalimu orijino. Kama umebukua na kina Msabaha si mchezo. We ndio unapaswa utupe nyingi za enzi hizo.
 
Aaaahahaha!! Nakumbuka ile ya msichana wako ili uweze kumwamsha usiku anafunga kiuzi kwenye kidole halafu anato kiuzi dirishani ili ukija ukivute naye anaamka taratibu bila tatizo. anatoka unamaliza mambo....

AAAH hii ni kweli au unatufunga kamba ?? miaka gani hiyo jamani ili na mie nijaribu kukadilia kama nilikuwepo
 
Kuna ile ya afajiri demu anajifanya anaenda kisimani, wazazi na jamaa wamelala maana wanajua kumekucha ni salama, basi arrangement zinakuwa zilifanyika shule alfajiri unawahi palepale home unakwangua halafu anaenda kisimani. watu wakiamuka wanamsifia kwa kuamka mapema na kufanya kazi kabla hajaenda shule!Jamani binadamu hawezakani. Enzi za mwalimu!Acha tu



sina mbavu nice funny
 
Madingi wa zamani walikuwa wanoko sana. Mi nilikuwa najibanza pembeni ya mwembe nasubiria vishosti vinavyotoka kuchota maji mida ya kigizagiza. Vikikaa vibaya vinakatwa mtama mzee mzima namaliza shughuli.........................

Hii imekaa ki ubakaji zaidi!
 
Hii imekaa ki ubakaji zaidi!
ubakaji ni neno pana sana, lakini kwa taarifa yako kuna makabila mpaka miaka ya 1990..demu hakuvulii nguo kama hutatumia nguvu haiimanishi kwamba hataki kufanywa, ndiyo watu walikuwa wanapingwa mitama wanafanywa ataenda kusema wapi, ataanza je...ulikuwa ukimtaka demu halafu anakuzingua unamtaimu tu kaenda kwenye maji, kuchunga au unamtumia rafiki yake wakike anampeleka sehemu halafu unatokea unamshika kitu kitu...hizi zitakuwa enzi za shemeji
 
utaua joji poji.......................
enzi za mwalimu unamfukuzia demu kinomaaaaaaaa, mara unamsubiri chini ya mwembe, mara unamvizia anakwenda kisimani kuchota maji, kali zaidi ni usiku unakwenda kwao unajibanza sehemu unarusha jiwe kwenye bati mtoto anatoka nje!!, hahahaaaaa haaaa enzi za mwalimu bana!, duh.
 
Back
Top Bottom