johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuna baadhi ya mambo yalikuwa mazuri sana wakati wa Mwalimu Nyerere au tuseme enzi za Chama kimoja
Mkuu wa Wilaya alikuwa ni Mlezi siyo Mtawala hivyo alihusika kuratibu Ustawi wa Jamii katika Wilaya yake na ikionekana mtu Mmoja hajulikani alipo taarifa ilipelekwa kwake
Ahsanteni š¼
Mkuu wa Wilaya alikuwa ni Mlezi siyo Mtawala hivyo alihusika kuratibu Ustawi wa Jamii katika Wilaya yake na ikionekana mtu Mmoja hajulikani alipo taarifa ilipelekwa kwake
Ahsanteni š¼