Enzi za Nyerere muda huu Kibajaj angekuwa kizuizini Sema Siku Hizi CCM ina Demokrasia Pana!

Enzi za Nyerere muda huu Kibajaj angekuwa kizuizini Sema Siku Hizi CCM ina Demokrasia Pana!

Kibaji jaribio lake la mapinduzi lilizimwa na mhusika mwenyewe. Angethubutu ule mtego. Sema mama ameshaiva.
 
Enzi za JKN
Screenshot_20241128-222219~2.jpg
 
Nyerere hakupenda Kabisa tabia za kukurupuka kama zilizoonyeshwa na Kibajaj mkutanoni

Uzuri wa CCM ya sasa hainaga mambo mengi tofauti na kile Chama Cha mitandaoni

Mlale Unono 😀
Kibajaji asikilizwe, mficha ugonjwaa...
Lissu anakuja na amsha amsha ya Tanganyika mpya...
CCM msikandamize mawazo ya makada wenu...mtakilia kilio cha ajabu.. ( kumbukeni maneno ya mwalimu)
 
Kalamu imeshanyanyuliwa na wino umeshakauka. Mama ndiye mgombea, hayo mengine sio mageni, yameshazoeleka.
 
Nyerere hakupenda Kabisa tabia za kukurupuka kama zilizoonyeshwa na Kibajaj mkutanoni

Uzuri wa CCM ya sasa hainaga mambo mengi tofauti na kile Chama Cha mitandaoni

Mlale Unono 😀
CCM ya sasa ni ya mazuzu mnapelekeswa na mshangazi tu.
 
Back
Top Bottom