Enzi za Nyerere muda huu Kibajaj angekuwa kizuizini Sema Siku Hizi CCM ina Demokrasia Pana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nyerere hakupenda Kabisa tabia za kukurupuka kama zilizoonyeshwa na Kibajaj mkutanoni

Uzuri wa CCM ya sasa hainaga mambo mengi tofauti na kile Chama Cha mitandaoni

Mlale Unono πŸ˜€
 
Kibaji jaribio lake la mapinduzi lilizimwa na mhusika mwenyewe. Angethubutu ule mtego. Sema mama ameshaiva.
 
Nyerere hakupenda Kabisa tabia za kukurupuka kama zilizoonyeshwa na Kibajaj mkutanoni

Uzuri wa CCM ya sasa hainaga mambo mengi tofauti na kile Chama Cha mitandaoni

Mlale Unono πŸ˜€
Kibajaji asikilizwe, mficha ugonjwaa...
Lissu anakuja na amsha amsha ya Tanganyika mpya...
CCM msikandamize mawazo ya makada wenu...mtakilia kilio cha ajabu.. ( kumbukeni maneno ya mwalimu)
 
Kalamu imeshanyanyuliwa na wino umeshakauka. Mama ndiye mgombea, hayo mengine sio mageni, yameshazoeleka.
 
Nyerere hakupenda Kabisa tabia za kukurupuka kama zilizoonyeshwa na Kibajaj mkutanoni

Uzuri wa CCM ya sasa hainaga mambo mengi tofauti na kile Chama Cha mitandaoni

Mlale Unono πŸ˜€
CCM ya sasa ni ya mazuzu mnapelekeswa na mshangazi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…