Enzi za utoto uliaminishwa jambo gani la uongo?

Enzi za utoto uliaminishwa jambo gani la uongo?

kataza

Member
Joined
Sep 5, 2014
Posts
28
Reaction score
58
Habarini wapendwa,

Niende moja kwa moja kwenye mada mimi niniaminishwa kuwa kusoma kwa bidii na kufaulu vizuri sana moja kwa moja unafanikiwa ila jamani yote nimeyafanya ila mafanikio sasa duh.
 
Kwamba watoto wanauzwa hospitali

Na sio kwamba Wanazaliwa 🙌
 
Habarini wapendwa,

Niende moja kwa moja kwenye mada mimi niniaminishwa kuwa kusoma kwa bidii na kufaulu vizuri sana moja kwa moja unafanikiwa ila jamani yote nimeyafanya ila mafanikio sasa duh.
Mtoto ananunuliwa
 
Habarini wapendwa,

Niende moja kwa moja kwenye mada mimi niniaminishwa kuwa kusoma kwa bidii na kufaulu vizuri sana moja kwa moja unafanikiwa ila jamani yote nimeyafanya ila mafanikio sasa duh.
[emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom