Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
-
- #21
Haaaahaa tumetoka mbali aisee...Mimi nilikua napenya katikati hapo mana nilikua mfupi kwenye kiti sifiki
ππππSisi tuli ita kuendesha dobo...
π€Au ilikua Baiskeli ikichanganya Speed,unakua unanyonga zile pedals kwa kurudisha nyuma,basi ule mlio wa ile Bearing ya tairi la nyuma unajiona mjanja.
ππ
Duu baiskeli zili saidia sana,hivi siku hizi hawakamati tena baiskeli ambazo hazina taa, na zile stika
Duu tu iongezee hapo kwenye list....Unaichaje Hamilton?
raha yake ni kama ule mvumo wa subaru siku hiziAu ilikua Baiskeli ikichanganya Speed,unakua unanyonga zile pedals kwa kurudisha nyuma,basi ule mlio wa ile Bearing ya tairi la nyuma unajiona mjanja.
ππ
πππ€£π€£Peda zikiisha vinabaki vile vichuma vya ndani,tunaita "misongo",halafu kwenye mlima raia wanasimamia na miguuni wako peku...
Ila zamani watu walikua wamekomaa kama wanacheza mashuati
View attachment 2571100
View attachment 2571102
Enzi zetu haikuitajika Peugeot, Nissan Wala Datsun ila ukiwa na Phoenix,Swala, frying pegeou au Raleigh unang'oa walimbwende na ndoa zilidumu sana tofauti na Sasa.π
Sio maneno yangu alisikika muhenga mmoja....
Mkuu hata chid benz atazeeka mwijakuNeno "kung'oa" haliendani na hizo enzi, labda kama wewe ni Mzee wa hovyo sana
Na ambazo hazina kengereeππhivi siku hizi hawakamati tena baiskeli ambazo hazina taa, na zile stika
unaweka hapo na zile kofia zilizokuwa na kibati mbele zimeandikwa LUCKYHapo umepiga zako Jeans ya SAVCO na Shati la Juliana.
ππ
Mkuu hata chid benz atazeeka mwijaku
Baba levo
Lemutuz
Hata wewe utazeeka
πππ€£π€£
Sizan kama lugha ni Tatizo π€
π€
Different eras.Vijana wa 70s to 80s haweze kuzeeka kama vijana wa 2000 to 2023....... Different errors,
Different eras.
Halafu unaenda matandani kitangiliHapo umepiga zako Jeans ya SAVCO na Shati la Juliana.
ππ
Halafu chini umepiga zako zile Safari buti za kijivu.unaweka hapo na zile kofia zilizokuwa na kibati mbele zimeandikwa LUCKY