Enzi zetu sisi watu wa huku Mbeya kulikuwa hamna kabisa majumba ya sinema

Isanga tulikuwa na MKULIMA VIDEO SHOW, ila movie kali tulikuwa tunaenda kuchek kwa NASIBU VIDEO SHOW. Kaka umenikumbusha mbali sanaa, thanks for good memories!
 
Isanga tulikuwa na MKULIMA VIDEO SHOW, ila movie kali tulikuwa tunaenda kuchek kwa NASIBU VIDEO SHOW. Kaka umenikumbusha mbali sanaa, thanks for good memories!
Thanks Bro...Nassibu kwa Sasa anaonesha mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…