Enzi zile: Kura ya kutambua nani anatoka na nani shuleni.......................?

Mi nilikuwa na videmu kibao skuli lakini hakuna hata siku moja niliyopigiwa kura, hao rafiki zangu wao walikuwa wanazipata sana maana walikuwa wanapenda sana kutangaza ishu zao.
Unajua mi kwanini nilipigiwa sana kura, kulikuwa na vidume vingi vilikuwa vinamtaka demu mwenyewe halafu na mi nikaja kugundua kulikuwa na vibinti kibao vilikuwa vinanizimia so ikawa wivu juu ya wivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…