Enzi zileeee!!!

Enzi zileeee!!!

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Mkuu umenikumbusha mbali sana. skuli kwetu wale watoro wote walikuwa wanakuja siku za graduation ya ly yaani last year au darasa la saba na siku za mechi baina ya shule na shule. hapo wataonekana wa muhimu kichizi na walimu watawasamehe duh
 
Back
Top Bottom