ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 937
Enzi zile hata kama huna akili kabsaaa mkichwa, na hata kama skuli hukanyagi kabisa, lakini ikifika siku ya mashindo au ujio wa mgeni shuleni, Mwalimu Mkuu mwenyewe atakutafuta kila kona, na hapo ndipo umaarufu wa kuwa mpiga ngoma mkuu wa shule au mwimbaji ulipozidi hata wa wale waliokuwa wakiongoza kwa taaluma xlass!!!..

http://www.facebook.com/photo.php?o...d=-1&pid=3428154&id=701645128&oid=11739838343

http://www.facebook.com/photo.php?o...d=-1&pid=3428154&id=701645128&oid=11739838343