Epa,richmond and missing people.........

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Hivi hawa
akina ringo tenga
na charles kimei.......
Hawapaswi kushitakiwa kwa lolote
kuhusu mchango wao kwenye ishu nzima
ya epa????

Sina kumbukumbu vizuri but nakumbuka
kwenye richmond au epa nilisikia majina
ya hawa watu yakitajwa,na sijasikia tena
wakizungumzwa....

Ni kwamba hakuna walichokosea kisheria au vipi????????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…