blakafro
Senior Member
- May 1, 2014
- 152
- 104
Habari Wakuu,
Msaada kwa aliye tumia huduma ya ePay Kenya hivi karibuni nataka nijue if they are still in the market, nashida na moja ya huduma zao ila nimetembelea site yao naona kama they are no longer in the market and nimejaribu kuwatumia mail toka week iliyopita but no any response na kwa site yao hamna contacts za ofisi wala maelezo ya location ya ofisi yao na livechat yao ipo offline 24/7, Au kama kuna alternative ya hawa jamaa it will be appreciated pia kama nikitajiwa.
Nawasilisha.
Msaada kwa aliye tumia huduma ya ePay Kenya hivi karibuni nataka nijue if they are still in the market, nashida na moja ya huduma zao ila nimetembelea site yao naona kama they are no longer in the market and nimejaribu kuwatumia mail toka week iliyopita but no any response na kwa site yao hamna contacts za ofisi wala maelezo ya location ya ofisi yao na livechat yao ipo offline 24/7, Au kama kuna alternative ya hawa jamaa it will be appreciated pia kama nikitajiwa.
Nawasilisha.