Ni aibu na fedheha mikataba imesainiwa mbele ya vyombo vya habari, mpk leo hakuna mkandarasi yuko eneo lolote kati ya hizi 8.
Ni utapeli, ni uwongo, tuliletewa matapeli, Samia tuachie nchi yetu Zanzibari wakandarasi wanajenga kila siku.
Hili jina Tanzania siyo sahihi, nchi hii iamue jina lake sahihi. Very serious bila aibu Rais yuko na wasanii matapeli, ndg, Tuachieni nchi yetu nyie madwebedo.