Ephraim Kibonde Jahazi Show

Nahisi Clouds TV wamebadilika, kabla ya uchaguzi walikuwa wanaiponda sana serikali na kuikosoa. Leo hii wamebadilika kama vile wanatafuta kitu fulani labda

Maoni yangu
 
Sugu ni mtu ambaye anakubarika saana na watu kwanza kwa sababu huyu bwana anaweza kusema bila kuogopa. Tunataka watu kama yeye, na sasa sugu usimwonee mtu huruma si uliona walichokufanyia? let them pay for this, fanya kazi baba. Kibonde hana reputations utatangaza mpaka ukome harafu huna tija kwenye utangazaji. Sugu nilisahau msikilizishe Kibonde Anti virus latest volume.
 
Huyu Kibonde wa Clouds nilishamwona ni mnafiki na anajikomba kwa JK ili apewe Ubunge kwenye kisahani. Mpuuzi na hana maana.Kazi yake ni kukandia Upinzani bila sababu za msingi. This time atakula jeuri yake.

Hongera sana Sugu tunataka Bunge la safari hii liwake moto ili CCM waone kuwa Watanzania tunataka mabadiliko.

CHADEMA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
DR.SLAA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE.
 
Sugu moto chini eheee, Sugu moto chini ahaaaa, Kibonde asalaam aleikum
 
tunalianzisha la epa richmond meremeta tena bungeni ccm wamekwisha
 
Sugu sugu sugu, Hongera sana am speechless. Hongera pia kwa wasanii walio kussurport kama akina Afande sele mkoloni na dalasi.
 
Sugu moto chini eheee, Sugu moto chini ahaaaa, Kibonde asalaam aleikum
Wa aleikum salaaam kwa niaba yake.....lol! Usinirarue Ze Finest nilikuwa najaribisha tu vike Kibonde angeitika huku kajiinamia kichwa chini.
 
surely there is a great difference between Komba nd Sugu ingawa wote wasanii... mmoja never tried to think outside the box, and sugu has always been visionary and revolutionary

sugu chapisha tisheti tuendee maofisini

zaidi, na zaidi... zaidi na zaidi
 
nilikuwa nakesha mbele ya keyboard yangu kuhakikisha kwamba ninyi watu mnatukubali wasanii kwamb a tunaweza na tunaaminika.
Mungu awabariki kwa kuunga mkono juhudi za kila kundi hapa nchini hasa makundi yaliyosahaulika.
tanzania ni yetu na tutaijenga wote
 
Hongera sana Sasa SUGU usiwasahau wasanii wanabanwa sana Haki miliki na kuibiwa Haki zao sasa,, Maagizo yangu ni kufuatilia Payments za wasanii Redio zinatakiwa ziwalipe wasanii pia Waigizaji (ni wasanii kwa ujumla wawe na maisha bora,, wewe ndo mtetezi wao,, Sugu ooooyeeeee)
 

Kaka si woote siumewasikia kina Dokii na inspecta haruni wakihojiwa na BBC kaka vile walevi wa pombe za kienyeji ila sasa mjigawe kundi la wenye uelewa mdogo na kundi lenu ninyi wenye welewa mkubwa msanii, wewe nakuaminia. Big up !
 
Sugu juuu. na katika wasanii wewe ndo msanii wa kweli sio hao wasanii njaa wananonuliwa kwa vihela vidogo sana na kuvalishwa tshirt za manzese then wanakubali kupiga debe nchi iuzwe kwa mafisadi. kaka Sugu kawashe Moto bungeni utukomboe Watanzania.
 
Sugu hongera sana... Tunahitaji results... Wananchi wa Mbeya mjini hongereni sana...
 
Best usipoteze muda wako kwa kumuongelea huyo kanjanja Kibonde!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…