Uchaguzi 2020 Episode ya 3 ni umaarufu wa Lissu tu na watu kibao

Uchaguzi 2020 Episode ya 3 ni umaarufu wa Lissu tu na watu kibao

onjwayo

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2020
Posts
1,356
Reaction score
1,309
Ama kwa hakika awamu ya 3 ya Lissu itakuwa kufuru kubwa Sana. Umaarufu wake utaongezeka Mara 10. Kila kizazi kitatamani kumuona akimwaga Sera na kuichana vibaya hii serikali ya CCM. My betting Ni kuwa mwisho wa siku ataondoka na kura nyingi zaidi ya 60%.

Kitendo Cha tume na polisi kwa wakati moja kumkabili kumuita na kumpa adhabu ya siku 7 ndiyo itampandisha. Baada ya kurejea atakuwa na nafasi kubwa kusoma mazingira ya namna ya kuwakabili watu. Ataweza kujua aseme Nini kwa sababu tayari amepata mapumziko ya kutosha kuandaa hotuba zake. Kwahiyo Ni siku 18 za kuiua kabisa CCM kwenye siasa za Tanzania.

Tume na polisi wawe makini kwa kauli Kama zile za kina Mahera na Sirro kuwa watasimamia wajibu wao ipasavyo pamoja na kupiga mikutano ya upinzani kwa mabomu. Busara tu inatakiwa kwani Ni vigumu Sana kufuata ratiba. Nchi Ni yetu sote kwahiyo hiyo nguvu isitunyime amani na utulivu kwani baada ya uchaguzi Kuna Maisha. Tanzania yenye amani inawezekana
 
Mi nakumbuka mafuriko ya Lowasa na shindwa kuelewa mashabiki kwa nini hawaleti ushindi.
 
Mnapamba kitu kisicho pambika, Chadema wale damu damu wameshajitenga siku nyingi.
 
Ingekuwa Tume siyo ya CCM ningekuwa naimani Sana ila kwa PoliceCCM na TumeCCM hata angepita hawezi kutangazwa
 
Wapi? Labda Kisutu! Kama Bobi wine hajapata nafasi hiyo pamoja na kipigo cha M7, itakuwa Lissu?
Bobbi wine unamfananisha na Lissu..Amsterdam anamaliza page 17 mmekwisha
 
Ukombozi unakaribia watanzania tuukatae udhalimu huu kwa nguvu zetu zote.
 
Bobbi wine unamfananisha na Lissu..Amsterdam anamaliza page 17 mmekwisha
Tatizo sasa wewe umekuwa kama mtoto anavyoamini kwamba baba yake ana kila ufumbuzi wa matatizo. Kwa hiyo nawe unaamini Amsterdam ni kiboko, Lissu ni kiboko hakuna anayewaweza wao ni funga kazi! Taabu akichwani hiyo!
 
Mfumo wa kuhesabu kura haukuwa makini subiri muziki unao kuja kama hamkuharibu uchguzi
Una maana mfumo umeboreshwa sana, eti? Uwezo wa kifedha wenyewe CHADEMA haina! Wasimamizi wenyewe hawapo, majimbo mengi na kata nyingi hazina hata wagombea udiwani. Labda washinde ngoma!
 
Mi nakumbuka mafuriko ya Lowasa na shindwa kuelewa mashabiki kwa nini hawaleti ushindi.
Sijakuelewa. Unamaanisha Mafuriko ya JPM hayataleta ushindi au ni Mafuriko ya Lissu tu ndo hayatoleta ushindi?
 
Una maana mfumo umeboreshwa sana, eti? Uwezo wa kifedha wenyewe CHADEMA haina! Wasimamizi wenyewe hawapo, majimbo mengi na kata nyingi hazina hata wagombea udiwani. Labda washinde ngoma!
Fala wewe Chadema ipo mioyoni kwa wapenda haki subiri utajua
 
Mi nakumbuka mafuriko ya Lowasa na shindwa kuelewa mashabiki kwa nini hawaleti ushindi.
Tofauti ya lowasa na lissu ni kwamba,kipindi cha lowasa magufuli alikuwa n nguvu sana kutokan n historia ya utendaji kazi wake ila nw magu kaonesha failure kubwa san hasa ktk kuboresha maisha ya watz
 
Back
Top Bottom