Staring gani anafunga bao analia kama amefiwa kwa uchungu mkubwa ukiona hivyo hajazoea kuua.Starring mwenyewe si ndio huyuView attachment 2400980
Basi ni huyuStaring gani anafunga bao analia kama amefiwa kwa uchungu mkubwa ukiona hivyo hajazoea kuua.
Ha ha haaCode ngumu hiiiView attachment 2400981
Hapa hakuachia ushuzi kweli?Basi ni huyuView attachment 2400986
Hii tamthilia inaendelea na wapenzi wa tamthilia hii wameamini kuwa huenda ni true story.
Mtengenezaji na mwongozaji wamejitahidi kwa viwango vya hali ya juu sana.
Hii imekuwa nzuri kibiashara maana wameweza kuteka nyoyo ya mashabiki wengi ambao akili zao ni kiwango cha nyani.
Atakayeanza kwa matusi hapa ni mmoja wa hao mashabiki wa tamthilia hii ya kibongo
Wewe ni taahira au ni zezeta??Bado dakika chache tukaangalie maigizo ya soka.
Mmejitahidi sana pia kuajiri wapaka rangi matukio katika tamthilia hii.
Endelea kufuatilia episode 44,je starring anatokaje leo?Wewe ni taahira au ni zezeta??
Script inaenda vizuriEndelea kufuatilia episode 44,je starring anatokaje leo?
Kama utekelezaji wa script utaenda vizuri,atafunga dakika ya 44.
Hii tamthilia inaendelea na wapenzi wa tamthilia hii wameamini kuwa huenda ni true story.
Mtengenezaji na mwongozaji wamejitahidi kwa viwango vya hali ya juu sana.
Hii imekuwa nzuri kibiashara maana wameweza kuteka nyoyo ya mashabiki wengi ambao akili zao ni kiwango cha nyani.
Atakayeanza kwa matusi hapa ni mmoja wa hao mashabiki wa tamthilia hii ya kibongo
Wamo kina Manura ndani yake.Bado dakika chache tukaangalie maigizo ya soka.
Mmejitahidi sana pia kuajiri wapaka rangi matukio katika tamthilia hii.