EPL: Everton yaifunga Liverpool Anfield baada ya miaka 21

Shadida Salum

Journalist at JamiiForums
Joined
Sep 11, 2020
Posts
69
Reaction score
105
Merseyside Derby imemaliza huku ikibadili history ya Everton ya kutofunga Anfield kwa takribani miaka 21 , baada ya kumtandika Liverpool goli 2-0.

N baada ya kujinyakulia alama zote 15 kwenye michezo mitano, Chelsea hii leo imeambulia alama 1 baada ya mchezo wake dhidi ya Southampton kumalizika kwa sare ya 1-1.

Kwa matokeo hayo Chelsea anasalia katika nafasi ya nne akiwa na alama 43 ikiwa ni alama 13 nyuma ya anayeongoza msimamo wa ligi hiyo ambaye ni Manchester city mwenye alama 56.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…