uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Si mpaka ashinde,kwani anapewa point Kama andaziPoint kumi zipi akat city bado ana game kiporo mkuu
Ndo na mie nashangaa hapo.Point kumi zipi akat city bado ana game kiporo mkuu
Man city tokea lini kawa Giant.Ni kichapo tu, hamna kuacha game ata Moja. Arsenal ndo mtajua hamjui kuwa kutangulia sio kufika. Mambo ya Ubingwa tuachien Ma Giant
Yeah but Sizungumzii historia naangalia wakati huu mkuuMan city tokea lini kawa Giant.
Uingereza Kuna Giant watatu tu
3. Arsenal
2. Liverpool
1. Manyumbu
Punguza mahaba, mechi haiwezi kuwa rahisi hivyoKiungo wa Arsenal Thomas partey amesema wapo tayari kushinda mechi ya katikati ya wiki ili kutangaza ubingwa mapema
Amesema "tupo tayari kupambana na kushinda mechi hiyo kujiweka katika mazingira mazuri ya kubeba ubingwa msimu huu na tutashinda"
Kwa miaka kumi mfululizo kwa uzoefu wangu mechi za katikati ya wiki zimekuwa mechi muhimu kuamua bingwa wa Epl
Utofauti ni kwamba arsenal sio timu bora kwa sasa ila ipo kwenye form
Na manchester city ni timu bora ambayo haipo kwenye form nzuri
Leo Arsenal ataongeza pengo la point hadi kumi akimfunga manchester city
Utabiri manchester city 1-5 arsenal
Ana Newcastle alafu[emoji28]Hii game hata arsenal akishida ubingwa hapati