Ladder 49 JF-Expert Member Joined Dec 19, 2017 Posts 7,918 Reaction score 20,037 Jan 20, 2018 #1 Wakuu Habari zenu Nataka niwakumbushe tu wakuu kwa wale waliokuwa wamesahau kwenye msimu wa epl 2017/2018 kwa upande wa mchezaji bora wa mwezi,kocha bora wa mwezi na goli bora la mwezi Ligi ilianza mwezi wa 8 . Mwezi wa nane ilikuwa hivi Mwezi wa tisa ilikuwa hivi Mwezi wa kumi ilikuwa hivi Mwezi wa kumi na moja ilikuwa hivi Mwezi wa kumi Na mbili ilikuwa hivi Nawasilisha
Wakuu Habari zenu Nataka niwakumbushe tu wakuu kwa wale waliokuwa wamesahau kwenye msimu wa epl 2017/2018 kwa upande wa mchezaji bora wa mwezi,kocha bora wa mwezi na goli bora la mwezi Ligi ilianza mwezi wa 8 . Mwezi wa nane ilikuwa hivi Mwezi wa tisa ilikuwa hivi Mwezi wa kumi ilikuwa hivi Mwezi wa kumi na moja ilikuwa hivi Mwezi wa kumi Na mbili ilikuwa hivi Nawasilisha
Yeth lottah JF-Expert Member Joined Dec 7, 2017 Posts 1,405 Reaction score 2,229 Jan 20, 2018 #2 Guadiora sana tu
pangalashaba JF-Expert Member Joined Jan 10, 2011 Posts 1,301 Reaction score 1,579 Jan 20, 2018 #3 Ngoja tuwasubiri watetezi wa Man U, huwa hawashidwi kitu.
ElPuto Jefe JF-Expert Member Joined Oct 16, 2015 Posts 5,284 Reaction score 19,410 Jan 20, 2018 #4 pangalashaba said: Ngoja tuwasubiri watetezi wa Man U, huwa hawashidwi kitu. Click to expand... Hahahahhahaa!! Watakuambia hizo tuzo si chochote!
pangalashaba said: Ngoja tuwasubiri watetezi wa Man U, huwa hawashidwi kitu. Click to expand... Hahahahhahaa!! Watakuambia hizo tuzo si chochote!
mzado JF-Expert Member Joined Jan 12, 2014 Posts 1,023 Reaction score 1,532 Jan 20, 2018 #5 Josep Guardiola, the philosopher
X XaviMessIniesta JF-Expert Member Joined Dec 18, 2017 Posts 2,231 Reaction score 2,778 Jan 22, 2018 #6 pangalashaba said: Ngoja tuwasubiri watetezi wa Man U, huwa hawashidwi kitu. Click to expand... Haha wanakuambia Lingard ni zaid ya King Leo Messi
pangalashaba said: Ngoja tuwasubiri watetezi wa Man U, huwa hawashidwi kitu. Click to expand... Haha wanakuambia Lingard ni zaid ya King Leo Messi