samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Mkuu uliwahi kucheza hata Timu yenu ya Kijiji..?Huyo kijana hawezi kucheza hata ligi ya misiri
Uchezaji wake hauwezi kumweka kiungo yeyote benchi kwenye timu kubwa
Mkuu uliwahi kucheza hata Timu yenu ya Kijiji..?
Ukitaka kujuaudhaifu wa Fri angalia anapokuwa Taifa stars na juzi vs UgandaHuyo kijana hawezi kucheza hata ligi ya misiri
Uchezaji wake hauwezi kumweka kiungo yeyote benchi kwenye timu kubwa
Ukitaka kujuaudhaifu wa Fri angalia anapokuwa Taifa stars na juzi vs Uganda
Aishindwe Uganda ndo aiweze EPL!! chezaji la kuotea otea tuu hiloHuyu dogo anacheza kabisa hata hapo Emirates kwani nini au nani pale mwenye maajabu.
Huyu dogo ni hazina .fundi adui wa makipa Anaebisha abishe ndo ukweli.
🤣🤣 kama Garasa la new castle lipo nae hapo jangwani , yeye ataweza BigiriiimaaanaYaani hata championship hachezi ,mnatumia mfumo gani!
Ukitaka kujua uchawi upo,mwangalie Fei Toto akicheza Stars.Huyo ndiye Fei halisi huyu wa utopolo ni mazingambwe tuHuyu dogo anacheza kabisa hata hapo Emirates kwani nini au nani pale mwenye maajabu.
Huyu dogo ni hazina .fundi adui wa makipa Anaebisha abishe ndo ukweli.