Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Wimbi la timu za Ligi Kuu ya Uingereza almaarufu EPL limeendelea jana ambapo Everton imepigwa bao 5 kwa 2 na Dynamo Kyiv ya Ukraine kwenye Europa. Everton ni timu pekee ya EPL iliyosalia katika mashindano ya Ulaya.
Ligi ya rugby chali kabisa
Ligi ya rugby chali kabisa
