Petro E. Mselewa JF-Expert Member Joined Dec 27, 2012 Posts 10,307 Reaction score 25,932 Mar 20, 2015 #1 Wimbi la timu za Ligi Kuu ya Uingereza almaarufu EPL limeendelea jana ambapo Everton imepigwa bao 5 kwa 2 na Dynamo Kyiv ya Ukraine kwenye Europa. Everton ni timu pekee ya EPL iliyosalia katika mashindano ya Ulaya. Ligi ya rugby chali kabisa
Wimbi la timu za Ligi Kuu ya Uingereza almaarufu EPL limeendelea jana ambapo Everton imepigwa bao 5 kwa 2 na Dynamo Kyiv ya Ukraine kwenye Europa. Everton ni timu pekee ya EPL iliyosalia katika mashindano ya Ulaya. Ligi ya rugby chali kabisa
denoo49 JF-Expert Member Joined Mar 29, 2011 Posts 6,113 Reaction score 6,950 Mar 20, 2015 #2 Hao watu wamefanywa kitu mbaya sana jana, sijawahi kuona.
Papa Mopao JF-Expert Member Joined Oct 7, 2009 Posts 4,153 Reaction score 2,647 Mar 20, 2015 #3 Uingereza hakuna soka
G golota JF-Expert Member Joined Mar 28, 2014 Posts 538 Reaction score 157 Mar 20, 2015 #4 Uingereza maneno mengi
Kigogo JF-Expert Member Joined Dec 14, 2007 Posts 20,508 Reaction score 6,183 Mar 20, 2015 #5 Itafahamika tu
Papa Mopao JF-Expert Member Joined Oct 7, 2009 Posts 4,153 Reaction score 2,647 Mar 20, 2015 #6 golota said: Uingereza maneno mengi Click to expand... Utafikiri kuna vitu vingi vya maajabu ya dunia, kumbe media tu
golota said: Uingereza maneno mengi Click to expand... Utafikiri kuna vitu vingi vya maajabu ya dunia, kumbe media tu
Salamander JF-Expert Member Joined Dec 7, 2012 Posts 28,536 Reaction score 15,746 Mar 20, 2015 #7 Kwa Ulaya Uingereza ni sawa na Tanzania ilivyo Afrika, maneno meeengi lakini ni ligi ya nyumbani tu.
R rodrick alexander JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 16,784 Reaction score 23,312 Mar 20, 2015 #8 waingereza wamewajaza ujinga washabiki wengi wa Tanzania kutokana na majisifu ya vyombo vyao vya habari
waingereza wamewajaza ujinga washabiki wengi wa Tanzania kutokana na majisifu ya vyombo vyao vya habari
Chizi Fureshi JF-Expert Member Joined Oct 26, 2010 Posts 1,718 Reaction score 461 Mar 20, 2015 #9 EPL hakunaga jipya mkuu, soka yao iko midomoni tu
Slim5 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 28,203 Reaction score 37,906 Mar 21, 2015 #10 Kigogo said: View attachment 236129 Itafahamika tu Click to expand... Huyu anamtafuta rais wa 2015-25
Kigogo said: View attachment 236129 Itafahamika tu Click to expand... Huyu anamtafuta rais wa 2015-25