Vip inaprint picha?hizi printer ziko vizuri katika ufanisi ila kero yake moja tu iki-stuck hua ina-blink double lights na hapo hata uizime na kuiwasha bado huta-solve
kero nyingine ni gharama ya wino wake halisia unauzwa bei mno, just imagine kichupa kimoja kinauzwa 80k na vinatakiwa vichupa vinne unajikuta unacheza around 240k wakati huo thamani ya printer ni 300+k
picha inatoa fresh, ila ukitaka u-enjoy kwa quality bora zaidi ya picha weka epson paper yenye compatible gram na printer yako halafu wino nao uwe wa epson sio huu wa chupa moja 3kVip inaprint picha?
Mkuu huo wino halisia ndio upi mkuu? na una tofauti gani na wino wa kawaida? Nna zaidi ya miaka miwili natumia hiyo printer na wino wake nanunua sh 5,000/= kichupa na unapiga kazi bila shidahizi printer ziko vizuri katika ufanisi ila kero yake moja tu iki-stuck hua ina-blink double lights na hapo hata uizime na kuiwasha bado huta-solve
kero nyingine ni gharama ya wino wake halisia unauzwa bei mno, just imagine kichupa kimoja kinauzwa 80k na vinatakiwa vichupa vinne unajikuta unacheza around 240k wakati huo thamani ya printer ni 300+k
Mkuu huo wino halisia ndio upi mkuu? na una tofauti gani na wino wa kawaida? Nna zaidi ya miaka miwili natumia hiyo printer na wino wake nanunua sh 5,000/= kichupa na unapiga kazi bila shida
Hapo nimekusoma mkuuhuu wino mara nyingi huja na printer endapo utanunua printer mpya ambayo haijatumika japokua madukani namo wanauza
yani ule wino ndio compatible, huu wa buku 3 hua tuna-force tu kulingana na hali zetu za kiuchumi ila kama pesa kwako sio kikwazo naku-recommend uchukue original ambao kwa kariakoo sehemu nyingi wanauza 80k
Njoo nikuuzie Epson l805 Ina miez miwili Bado mpya in print page (picha za rangi high quality 1900)kwa gharama ndogo na unatumia wino original wa Epson kichupa 3000 Ina vitank 6 so 18000 unaprint picha DVD cover mpka unasahau nadhan kwa wanaozijua wanajua Moto wake...Vip yaweza print picture?
Pole sana kwa ajali.Njoo nikuuzie Epson l805 Ina miez miwili Bado mpya in print page (picha za rangi high quality 1900)kwa gharama ndogo na unatumia wino original wa Epson kichupa 3000 Ina vitank 6 so 18000 unaprint picha DVD cover mpka unasahau nadhan kwa wanaozijua wanajua Moto wake...
Shida ni kwamba nauza siku ya Simba na yanga nilipata ajali na kaboxer kangu so nishaishiwa pesa ivi nipo muhimbili hospital nilivunjika mguu...
Pia nauza na iyo boxer niliyopata nayo ajali..
Bei zake
Epson l805 sh 500000
Boxer lak 6 sio mpya ni ya mda kidogo
Vyote maongezi yapo
Call 0742090831
Nipo dar .. mitaa ya temeke hospital....au mitaa ya uwanja wa taifa
thanksPole sana kwa ajali.
Mwenyezi Mungu akupe uponyaji wa haraka.
Vipi mkubwa huo wino wa elfu tatu naweza uweka kwenye HP 2050huu wino mara nyingi huja na printer endapo utanunua printer mpya ambayo haijatumika japokua madukani namo wanauza
yani ule wino ndio compatible, huu wa buku 3 hua tuna-force tu kulingana na hali zetu za kiuchumi ila kama pesa kwako sio kikwazo naku-recommend uchukue original ambao kwa kariakoo sehemu nyingi wanauza 80k
Unamaanisha wino wa epson uutumie kwenye Hp?Vipi mkubwa huo wino wa elfu tatu naweza uweka kwenye HP 2050
Mimi nina brother printer wireless multifunction lina bugia wino vibaya je inawezekana kufanya modifocation kujazia kwa nje kama akina Epson tafadhali naomba msaadaUnamaanisha wino wa epson uutumie kwenye Hp?
Kila printer ina wino wake hua hazishei, labda iwe kampuni moja ila matoleo tofauti
Hahaha mkuu sina intelijensia ya ufundi huo labda uende machinga kwa mafundi printer wanaweza kukupa muongozoMimi nina brother printer wireless multifunction lina bugia wino vibaya je inawezekana kufanya modifocation kujazia kwa nje kama akina Epson tafadhali naomba msaada
Tafuta CIS yake mitandaoni kulingana na model ya printer yako. CIS ni continuous ink system.Mimi nina brother printer wireless multifunction lina bugia wino vibaya je inawezekana kufanya modifocation kujazia kwa nje kama akina Epson tafadhali naomba msaada
Sawa mkuu ngoja nijaribuTafuta CIS yake mitandaoni kulingana na model ya printer yako. CIS ni continuous ink system.