Epuka kuajiri makundi haya ya watu kwenye duka/ biashara yako

Epuka kuajiri makundi haya ya watu kwenye duka/ biashara yako

gearbox

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2024
Posts
563
Reaction score
1,768
1. kijana wa kuuza duka ambae kashinikizwa na wazazi/ ndugu, hawa mara nyingi wamekubali kazi kwa msukumo tu kishingo upande, ni ngumu kufanya kazi kwa kujitoa

2. Ndugu wa mke - hakikisha wanakaa mbali sana na biashara, ni watu wanaoweza kuvuruga biashara na hata ndoa yako.

3. Rafiki yako besti - sio mikopo tu inaua urafiki, tafutia kazi rafiki yako sehem nyingine chini ya boss mwengine
 
Aisee kuna ukweli fulani,,,nilienda mji fulani wakati napata chakula mgahawani,,,kulikuwa na muuza duka la jirani anakunywa vinywaji vya dukani balaa,,kuna madam mmoja akasema huyu mwamba anakunywa soda,juisi na smtm anawapa na watu,akasema hili duka likisavaivu sijui
Huyo bilashaka alilazimishwa
 
Back
Top Bottom