MartinCoder
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 700
- 630
Na tairi linaekisipaya baada ya miaka 4 tuasante mkuu.
umenifungua bongo...
Na tyre halitakiw kuzid muda gan toka limetengenzwa kipind unanunua?
Thanks Mkuu kwa taarifa ntalizingatia nikija kutafuta na mm usafirRecommended:
All tires (including spare tires) that were manufactured more than ten years ago should be replaced with new tires, even if they appear to be usable from their external appearance and if the tread depth may have not reached the minimum wear out depth.
Inategemea na matumizi mkuu...hiyo miaka minne ni maximum time ya kukaa na tyre.Na tairi linaekisipaya baada ya miaka 4 tu
Ni kweli maana tairi linategemea miaka tangu litengenezwe na Km lililotembea hata kama ni mwezi mmoja tangu limetengenezwaInategemea na matumizi mkuu...hiyo miaka minne ni maximum time ya kukaa na tyre.
Inashauriwa ukitembea 40,000km badili tyre hata kama ni ndani ya mwaka.
40,000km. Safi sana mkuu hii knowledge ni muhimu kuwa nayo.Inategemea na matumizi mkuu...hiyo miaka minne ni maximum time ya kukaa na tyre.
Inashauriwa ukitembea 40,000km badili tyre hata kama ni ndani ya mwaka.