Epuka Kuscan QR Code ovyo, taarifa zako zinweza kudukuliwa

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Kupitia QR Code wadukuzi wanaweza kutumia kukupeleka katika tovuti hatarishi lakini pia wanaweza kukusanya taarifa zako zilizopo kwenye kifaa chako na kuhatarisha usalama wako Mtandaoni.​


Kabla ya kuscan QR Code hakikisha umethibitisha chanzo cha QR Code hiyo ni salama, unakiamini na unakifahamu Chanzo

Pia kumbuka kutumia Programu za QR Scanner zenye Usalama kwani vinaweza kuchunguza code hiyo kabla ya kukifungua

Angalia makosa ya kisarufi au herufi ya kamouni au tovuti ya QR Code hiyo kabla ya kuifungua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…