Epuka kutongoza kwa meseji (SMS); Ni big risk...

hata hiyo flash message ukimtumia mtu akishasoma kisha akaenda kwenye option atakuta neno save or ignore akisave tu jua umeumia. dawa mtokee face to face.
nielekeze huduma hii kama inapatikana kwenye nokia e72
 
mimi nimekua nikipunguza risk kwa kuamua kupiga simu kabisa kuliko kutuma sms!
 
flash message inafanyaje kazi? Nifundishe kuitumia aisee,i bloody need to know this technology kabla sijauawa maana wake za watu kuacha siwezi.

Kha! Balaa hii.. Sasa na flash msgz si ndio utakamatwa. Msg ina display ikiingia. What if mumewe ndio ameishika simu?!
 
Mkuu wewe acha tu maana alikuwa busy sana na simu nikaona isiwe tabu nilifuta tu ile namba nikaweka yangu jina nikaacha mjomba,sio rahisi yeye mara 1 kustukia basi ndio ikawa hivyo!

Dah! sikuelewa mwanzo halafu nikawa nahisi kuna kakitu kazuri ndani! sasa nimekupata una hataaaari lol. . ila umenipA mbinu hahahaaa!
 
Bishanga na siku ukikamatwa uje utwambie hapa. . by the way hujawai kutwa hata almanusura!
 
Dah! sikuelewa mwanzo halafu nikawa nahisi kuna kakitu kazuri ndani! sasa nimekupata una hataaaari lol. . ila umenipA mbinu hahahaaa!

Fanya kama huna mapresha,vinginevyo nenda pharmacy kwanza ukanunue dawa za kushusha presha'
 
Kha! Balaa hii.. Sasa na flash msgz si ndio utakamatwa. Msg ina display ikiingia. What if mumewe ndio ameishika simu?!
allaaaaa....kumbe? Wacha niendelee na utaratibu wa kuvizia wakati mzee kasafiri.
 
Bishanga na siku ukikamatwa uje utwambie hapa. . by the way hujawai kutwa hata almanusura!
mi mtaalam,sikuanza leo.....hata humu mmu nshavuta mke wa mtu.....chezea bishanga!
 
Kha! Balaa hii.. Sasa na flash msgz si ndio utakamatwa. Msg ina display ikiingia. What if mumewe ndio ameishika simu?!

Hatajua imetoka kwa nani. uzuri wa flash msg hata akisev hawez sev mtumaji.
 
LINGINE: Unaweza ukawa unatongoza mke wa mtu, kumbe anayekujibu hizo sms ni mume wake !
Huyo atakuwa shoga anafurahia jinsi unavyomtongoza mke wake, anahisi kama anatongozwa yeye vile, anakuwa anahamasika.
 
mwanaume hatongozi kwa msg, raha umtokee mtoto umpe shule mpaka aingie line mwenyewe...
 
Tuachane na huu upuzi maana mke ni wako unapomuoa tu , wengine wote si wake zako
 
Sasa huo ni upumbavu. Kwa nn utumie vitu vyenye ushahidi wakati unafanya magendo? Kutumia sms lazima uwe free.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…