Epuka makosa haya


rED: u NAILED IT.....REAL BEAuty has to be explored...not seen!!
 
UJUMBE HUU UWAFIKIENI WANAWAKE WOTE WENYE TABIA HII, ndo maana tuna infidelilaiz ili kuji provee kwamaba we are still worthy!
 
Ubovu wanaume wengine nao, mwanamke wake akiwa anamkabia kwenye kona kila siku anaanza maringo, akifika home anaanza kujitetea ooh leo sitaki usumbufu kabisa nimechoka na kazi usiniguse, wakati mwanamke huruhusiwi kusema nimechoka unaamshwa tu hata kama umechoka ka punda. NENO LAMUNGU LINASEMA USIMYIME MUME WAKO HATA KWA KISINGIZIO CHA KUOMBA. Na wa dada wakitaka msiwanyime hata kwa kisingizio cha kuchoka na kazi wapeni hata wao hua wanataka.
JESUS IS MY HOME BOY.
 
Umegonga penyewe mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…