Epuka ujambazi wa TRA kwenye excise duty ya kuingiza magari

Epuka ujambazi wa TRA kwenye excise duty ya kuingiza magari

Taso

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2010
Posts
2,507
Reaction score
2,412
Hii gari iko sokoni Osaka, $749, jumlisha usafiri inakuwa jumla $2,100 kuinunua Osaka mpaka Kurasini.

(hii Nissan ni mfano tu, kwa wale wanaoishi na kuapa kwa jina la Toyota, Vitz, IST, Noah... hesabu ni zile zile!)

2006 NISSAN SKYLINE 3.JPG



Kuichomoa Kurasini CCM wanataka milioni 11 laki tatu, jumla milioni 15, yani gari lime shuti kutoka milioni 4 mpaka 15. Okay, that's fine, sisi hatuzalishi magari kwa hiyo bei haziwezi kuwa kama za Osaka. Lakini unapunguzaje haya magharama ya kutaka kutufanya wote tuishi kama mashetani?

Wana njia mbili kubwa za kukupiga:

1144327



Kuna "excise duty due to age," au kodi ya uchakavu. Mantiki yake ilikuwa kukatisha tamaa uingizaji wa magari mabovu. Lakini cha ajabu ukichukua gari hiyo hiyo ya mwaka mmoja nyuma, yani nzee zaidi, kodi ya CCM inashuka kutoka milioni 11 laki tatu unusu mpaka 9 laki 4, milioni mbili nzima!

Which means, kodi ya uchakavu, na legislative intent yake, yani malengo ya sheria hii, yamekuwa ni uongo na ni wizi mtupu!

Pengine wanapokupigia na panapofanya import bill ina quadruple ni kwenye kitu wanaita "Customs Value CIF." Kwamba wao ndio wanathaminisha hiyo gari, sio wewe. Which is perfectly understandable. Uwizi wao ni pale wanaposema tofauti ya mwaka mmoja inaleta tofauti ya thamani kwa dola mia nane wakati sio kweli mtaani, magari Tanzania hayapimwi kwa mwaka iliyotengenezwa wala kwa mileage, bali kwa namba ya kibao!

Kwa hiyo tazama kodi inavyopungua kwa kushusha mwaka wa gari kwa mwaka mmoja tu!

1144328


Kupambana na ujambazi huu wa TRA ya CCM achana na hii gari, agiza nzee kwa mwaka mmoja, uta save sana na thamani yake siku ya kuuza itakuwa ni kama ile ile ya 2006 kwa sababu gari hizi zingepewa namba ile ile, namba D! Tanzania magari yanathaminishwa kwa namba za vibao!
 
zingekuwa reasonable tusingezi avoid, tungezilipa kwa moyo wa uzalendo...
tunalazimika kuzi avoid hizi tax kwa sababu ziko outrageous...
Usemayo ni kweli niliwahi kuandika humu kuwa mfumo wetu wa tax hauendani na dhanna yetu ya nchi inayoendelea (developing) tumeiga mfumo wa tax wa nchi zilizoendelea (developed).

Nilishauri tax zetu zote ziwe 10% flat, across. Hatuna haja ya mabuku makubwa wala "complicated calculations" za tax.

Mfano Gari, lipa 10% ondoka bandarini na gari lako, hakuna truck wala bulldozer wala horse wala trailer. Tax ni moja tu kwa chochote.

Itakuwa hakuna wizi, uchelewashaji, ubabaishi na inavyovihitaji kila mtu kulipa tax atalipa kihalali.

Kama hawataki magari chakavu wazuie miaka tu. Kuwa magari yaliyopita miaka 5 hakuna ruksa kuingia nchini. Kwisha.
 
Mimi huwa siamini kama ni kweli ila nahisi walitaka kulinda biashara za watu mjini hapa , watukomoe kuagiza direct gari kutoka nje waagize wao then tununue kwao. Angalia gharama za show room nyingi tofauti ya bei ikoje ukinunua kwao au uagize mwenyewe
Hii gari iko sokoni Osaka, $749, jumlisha usafiri inakuwa jumla $2,100 kuinunua Osaka mpaka Kurasini.

(hii Nissan ni mfano tu, kwa wale wanaoishi na kuapa kwa jina la Toyota, Vitz, IST, Noah... hesabu ni zile zile!)

View attachment 1144326


Kuichomoa Kurasini CCM wanataka milioni 11 laki tatu, jumla milioni 15, yani gari lime shuti kutoka milioni 4 mpaka 15. Okay, that's fine, sisi hatuzalishi magari kwa hiyo bei haziwezi kuwa kama za Osaka. Lakini unapunguzaje haya magharama ya kutaka kutufanya wote tuishi kama mashetani?

Wana njia mbili kubwa za kukupiga:

View attachment 1144327


Kuna "excise duty due to age," au kodi ya uchakavu. Mantiki yake ilikuwa kukatisha tamaa uingizaji wa magari mabovu. Lakini cha ajabu ukichukua gari hiyo hiyo ya mwaka mmoja nyuma, yani nzee zaidi, kodi ya CCM inashuka kutoka milioni 11 laki tatu unusu mpaka 9 laki 4, milioni mbili nzima!

Which means, kodi ya uchakavu, na legislative intent yake, yani malengo ya sheria hii, yamekuwa ni uongo na ni wizi mtupu!

Pengine wanapokupigia na panapofanya import bill ina quadruple ni kwenye kitu wanaita "Customs Value CIF." Kwamba wao ndio wanathaminisha hiyo gari, sio wewe. Which is perfectly understandable. Uwizi wao ni pale wanaposema tofauti ya mwaka mmoja inaleta tofauti ya thamani kwa dola mia nane wakati sio kweli mtaani, magari Tanzania hayapimwi kwa mwaka iliyotengenezwa wala kwa mileage, bali kwa namba ya kibao!

Kwa hiyo tazama kodi inavyopungua kwa kushusha mwaka wa gari kwa mwaka mmoja tu!

View attachment 1144328

Kupambana na ujambazi huu wa TRA ya CCM achana na hii gari, agiza nzee kwa mwaka mmoja, uta save sana na thamani yake siku ya kuuza itakuwa ni kama ile ile ya 2006 kwa sababu gari hizi zingepewa namba ile ile, namba D! Tanzania magari yanathaminishwa kwa namba za vibao!
 
Mimi huwa siamini kama ni kweli ila nahisi walitaka kulinda biashara za watu mjini hapa , watukomoe kuagiza direct gari kutoka nje waagize wao then tununue kwao. Angalia gharama za show room nyingi tofauti ya bei ikoje ukinunua kwao au uagize mwenyewe
Kwa hawa viongozi wetu ambao ni wafanyabiara pia, siwezi kukupinga kabisa.
 
Hii nchi creative thinkers hawapo bali tuna watu wenye tamaa na pesa tu kuanzia TRA hadi clearance and forwarding agents
Usemayo ni kweli niliwahi kuandika humu kuwa mfumo wetu wa tax hauendani na dhanna yetu ya nchi inayoendelea (developing) tumeiga mfumo wa tax wa nchi zilizoendelea (developed).

Nilishauri tax zetu zowe ziwe 10% flat, across. Hatuna haja ya mabuku makubwa wala "complicated calculations" za tax.

Mfano Gari, lipa 10% ondoka bandarini na gari lako, hakuna truck wala bulldozer wala horse wala trailer. Tax ni moja tu kwa chochote.

Itakuwa wizi, uchelewashaji, ubabaishi na inavyovihitaji kila mtu kulipa tax.

Kama hawataki magari chakavu wazuie miaka tu. Kuwa magari yaliyopita miaka 5 hakuna ruksa kuingia nchini. Kwisha.
 
Sasa TRA inahusika vipi hapo wakati Sugu, Mbowe na Lema walipisha Bungeni hizo rates?
 
Hapo kilichobadilika ni cif value. TRA wanaweka ya kwao ambayo huwa ya juu sana tofauti na ile halisi uliyouziwa. Kwahio hizo gari mbili ulizochagua moja ina cif value $4295 wakati ile nzee ina cif value $3523, obvious ushuru utakuwa tofauti
 
mkuu hili ni tatizo maana kodi tunapigwa kubwa sana na inavunja moyo na wakati mwingine hujui utajalipa kiasi gani cha kodi baadhi ya vitu ambavyo huwezi tafuta kodi yake kabla ya kuagiza na hii ndo inapelekea mtu kutelekeza vitu vyake pale bandarini,
nadhani inapaswa kufika mahala serikali ione kunahaja ya kuweka flat tax kwa baadhi ya vitu ili kuweka uwiano na mtu ajue analipa nini na hiyo itafanya watu waache ule mchezo wakununua magari wawe ka wanafanya yanavuka mpaka kumbe ni ya hapa hapa ndani
 
Back
Top Bottom