Epukeni hawa waganga wa tunakuza mashine na kunenepesha

Epukeni hawa waganga wa tunakuza mashine na kunenepesha

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
817
Reaction score
2,180
Guys, hamna watu matapeli kama hawa. Kuna jamaa hapa kaliwa laki 8 alikuwa anatumia dawa hizo kwa miezi miwili sasa na hamna alichoambulia, na huenda dawa alizokunywa zikamletea shida badae.
Guys lizika na alichokupa Mungu ana makusudi yake. Hawa jamaa wanaangakia udhaifu wa watu wanatumia kama fursa. Siku wanawake wakisema hawataki matango utasikia dawa ya kupunguza na kukondesha mashine.
 
Guys, hamna watu matapeli kama hawa. Kuna jamaa hapa kaliwa laki 8 alikuwa anatumia dawa hizo kwa miezi miwili sasa na hamna alichoambulia, na huenda dawa alizokunywa zikamletea shida badae.
Guys lizika na alichokupa Mungu ana makusudi yake. Hawa jamaa wanaangakia udhaifu wa watu wanatumia kama fursa. Siku wanawake wakisema hawataki matango utasikia dawa ya kupunguza na kukondesha mashine.
Ni kukosa akili tu ndo kunapelekea mtu kuamini mambo ya kizembe kama hayo.
 
Guys, hamna watu matapeli kama hawa. Kuna jamaa hapa kaliwa laki 8 alikuwa anatumia dawa hizo kwa miezi miwili sasa na hamna alichoambulia, na huenda dawa alizokunywa zikamletea shida badae.
Guys lizika na alichokupa Mungu ana makusudi yake. Hawa jamaa wanaangakia udhaifu wa watu wanatumia kama fursa. Siku wanawake wakisema hawataki matango utasikia dawa ya kupunguza na kukondesha mashine.

Ni kukosa akili, ukubwa au udogo wa maumbile unategemea na genetics za mtu not otherwise
 
Hapo kosa nilanani?.Usipotumia akili zako vizuri lazima uwe fursa kwa wengine.dawa zipo lakini sio watu wote wanaouza dawa nizakweli.Sasa akili kichwani kwako.ukiwa kichwa kichwa utageuka fursa za watu.
 
Hapo kosa nilanani?.Usipotumia akili zako vizuri lazima uwe fursa kwa wengine.dawa zipo lakini sio watu wote wanaouza dawa nizakweli.Sasa akili kichwani kwako.ukiwa kichwa kichwa utageuka fursa za watu.
Sure sure. Binafs namshkuru Mungu upande huo sinaga unyonge .... Sijui nguvu za kiume sjui mashne .... Am good na nimerdhka na nguvu nlzonazo
 
Tanzania Wajinga Ni Wengi Sana
By Godwin Mollel
 
Back
Top Bottom