BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Rais Teodoro Obiang Nguema Mbasogo aliyekaa Madarakani kwa miaka 43 ametia saini Sheria hiyo mpya itakayoanza kutekelezwa ndani ya siku 90 baada ya kuchapishwa katika Gazeti la Serikali.
Mara ya mwisho adhabu ya kifo kutekelezwa nchini humo ilikuwa mwaka 2014. Pamoja na uamuzi huo, Amnesty International na Umoja wa Mataifa wamekuwa wakiishutumu serikali kutokana na kutoweka kwa raia, kuwekwa kizuizini kiholela na utesaji.
Equatorial Guinea inakuwa nchi ya 24 barani Afrika kufuta adhabu ya kifo baada ya Jamhuri ya Afrika ya Kati iliyofuta adhabu hiyo Mei 2022, Chad mwaka 2020 na Sierra Leone mwaka 2021.
=========================
Equatorial Guinea abolished the death penalty, state television announced Monday, citing a new law signed by President Teodoro Obiang Nguema Mbasogo.
The president's son who serves as one of the country's vice-presidents lauded the move he called "historic" on Twitter.
The last official execution in the small country was carried out in 2014, according to Amnesty International. Still, international NGOs and the United Nations regularly accuse the regime of forced disappearances, arbitrary detention and torture.
The measure will come into force in the 90 days following its publication in the official state journal and was approved by parliament in advance.
Equatorial Guinea follows the Central African Republic in May 2022, Chad in 2020 and Sierra Leone last year in recent years' ban on capital punishment on the African continent.
President Obiang, 80, has spent more than 43 years in power, a world record when excluding monarchies.
AFRICAN NEWS
Mara ya mwisho adhabu ya kifo kutekelezwa nchini humo ilikuwa mwaka 2014. Pamoja na uamuzi huo, Amnesty International na Umoja wa Mataifa wamekuwa wakiishutumu serikali kutokana na kutoweka kwa raia, kuwekwa kizuizini kiholela na utesaji.
Equatorial Guinea inakuwa nchi ya 24 barani Afrika kufuta adhabu ya kifo baada ya Jamhuri ya Afrika ya Kati iliyofuta adhabu hiyo Mei 2022, Chad mwaka 2020 na Sierra Leone mwaka 2021.
=========================
Equatorial Guinea abolished the death penalty, state television announced Monday, citing a new law signed by President Teodoro Obiang Nguema Mbasogo.
The president's son who serves as one of the country's vice-presidents lauded the move he called "historic" on Twitter.
The last official execution in the small country was carried out in 2014, according to Amnesty International. Still, international NGOs and the United Nations regularly accuse the regime of forced disappearances, arbitrary detention and torture.
The measure will come into force in the 90 days following its publication in the official state journal and was approved by parliament in advance.
Equatorial Guinea follows the Central African Republic in May 2022, Chad in 2020 and Sierra Leone last year in recent years' ban on capital punishment on the African continent.
President Obiang, 80, has spent more than 43 years in power, a world record when excluding monarchies.
AFRICAN NEWS