Erasto Nyoni, kiraka, fundi, bingwa wa penati, mtaalamu

sub ya ndemla Kwa Yule Ame ......nlimpa heko mwalimu ......jamaa walianza kutumia mipira mirefu na kupiga cross nyingi Sana zakuingia kwenye 18 pale ...ili mkijichanganya tu .....goli..
Japo kuondoka Kwa ndemla pale ....palileta kidogo rapsha kabla timu haijatulia nakumbuka kuna mda kama Simba ilishambuliwa Sana dakika flan kabla timu haijatulia tena ...

team work nzuri Sana goal la 3 ...

onyango alipiga kazi Sana Yule mzee....

bwalya na chama nliwakubali Sana Jana..

Mickison jamaa hawatasahau alivyowasumbua Jana .....

huyu mugalu dah ...kaz ipo ..namuona mzito Sana aisee....
 
Bora simba impate chikwende,
Mugalu yeye anasubiri mipira ya kumalizia
Maana hata kutuliza mpira shida
 
Bora simba impate chikwende,
Mugalu yeye anasubiri mipira ya kumalizia
Maana hata kutuliza mpira shida
Mugalu kwa Jana alikuwa na pressure kubwa ya mchezo hivo akatoka mchezoni, yani hadi uone sven amemuweka bench bocco akaanza na Mugalu ujue Mugalu alimpa kile anachotaka katika mazoezi ila kuingia kwenye game jamaa akatoa kitu tofauti, inaonekana pressure ilianzia ndani ya team yani wachezaji hadi nje, itakuwa plan ya sven ilikuwa kuwatumia sana kapombe na zimbwe kupitia pembeni na kumwaga cross kwa Mugalu ila Mugalu akatoka mchezoni na plan kufeli hadi pale alipomtoa ndemla na kumweka Ame na Laly kusogea juu,

all in all Sven yupo tofauti sana na uchebe, uchebe alikuwa anajiripua sana akitegemea safu yake ya ushambuliaji, ila sven kila anachofanya anafanya kwa hesabu, jamaa yupo kimbinu sana alichofanya Jana ni plan aliyoanza kuisuka game ya ihefu baada ya kujua hatakuwa na mkude, japokuwa ihefu ni team ndogo ila hakuogopa kuingia na ile plan kwa team kama platnum
 
Wakati jamaa wanabishana na refa kuhusu uhalali wa penalti, Miquissone alikuwa busy kumshawishi Nyoni akapige ile penalti.
Miquissone ni mchezaji ambaye hataki mizaha uwanjani. Wala kujalibu jaribu.
Simba naomba wapiga penati wawe hao wanaoweza na sio wabahatishaji mtu kama. Nyoni, Wawa, na Chama huwa hawakosi Penati.
Kuna mtu alitukosesha goli tukicheza na T.P. Mazembe kwa Mkapa.
Kuwa mshambuliaji mzuri hakumfanyi mchezaji awe mzuri wa kupiga penati.
Hebu tuwe Siriaz kama Miquissone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…