Beki wa Manchester United Eric Baily na Ivory Coast ameamua kurudi kijijini kwao Guiglo Mara baada ya majeraha kumuandama Mara kwa Mara na kwenda kujitibu huko.
Baily ama miaka mingi hajarudi kijijini huko tangu alipofanikiwa kuwa mchezaji wa kimataifa na maarufu