joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Kenya lives in your head rent-free.
MY TAKE; Hii ndiyo nchi inayosema kuna uhuru wa kujieleza[emoji23][emoji23][emoji23]
bravo Erick Omondi, ni kama movie lkn ujumbe umepatikana.
The starter of the thread is not getting the responses he expected.🤣Bora wasanii wa kenya wanajielewa,huku tuna vilaza watupu.
Nenda kamuone daktari wa macho kwa msaada zaidi[emoji23][emoji23]Sijaona popote akishushiwa kipigo
MY TAKE; Hii ndiyo nchi inayosema kuna uhuru wa kujieleza[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni wapi Erick amepigwa mkuu ama watu mnaanzisha mada huku mkiwa mmekalia mpini?